Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Kamwengue kama una uwezo huo. Unaacha mtu mwenye kauli mbovu za ukabila, unamkazania mtu anasisitiza NEC itende haki. Nosense.Bado anaweza kuenguliwa kwa kukiuka kiapo alichoapa mbele ya mahakama kuu kwamba atazingatia maadili ya kampeni kama zilivyowekwa kwa mjibu wa sheria. NEC ndiyo ilimteuwa na ina mamlaka ya kutengua uteuzi wake wakati wo wote. Uamuzi wake hauwezi kupingwa mahakamani. Na huyo mgombea analijua hilo. Na anataka iwe hivyo ili akawaeleze waliomtuma kwani anajuwa hawezi kupata kura zaidi ya laki moja. Hawezi kuzunguka nchi nzima na hako kamtumba ka helikopta kenye pilot mwenye umri wa miaka 80. Nchi yetu ni kubwa kuliko ukizijumulisha nchi za Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi kwa pamoja. Hawezi.
Sent using Jamii Forums mobile app