Uchaguzi 2020 Ni hatua zipi za kisheria ambazo Tume (NEC) ina mamlaka dhidi ya mgombea anayetaka kusababisha uvunjifu wa amani?

Uchaguzi 2020 Ni hatua zipi za kisheria ambazo Tume (NEC) ina mamlaka dhidi ya mgombea anayetaka kusababisha uvunjifu wa amani?

Ni mali yetu watanzania tuliyopewa na Mwenyezi Mungu. Bado hujaelewa?
Hahaaaaaa hizo ni mali za wenye mamlaka ndio maana hazina faida kwako. Kila kitu unalipia alafu unasema mali zenu...labda kama upo kwenye mamlaka
 
Kuna kanuni zilizowekwa kwa mjibu wa sheria ya uchaguzi wa namna ambavyo wagombea wanatakiwa kuzifuata wanapofanya kampeni kushawishi kura za wananchi. Kabla ya kuteuliwa na NEC wagombea hawa waliapa mbele ya mahakimu au majaji kuwa watazingatia kanuni na maadili hayo yaliyowekwa kwa mjibu wa sheria.

Kuna mgombea fulani ambaye ni wazi kabisa katika kampeni zake hazingatii kabisa hizo kanuni, taratibu na maadili aliyoapa kufuata. Lugha na maneno anayotumia dhidi ya mgombea mwenzake hayakubaliki hayakubaliki hata kidogo na ni kinyume na maadili yaliyowekwa na sheria hiyo. Ni maneno makali yenye kuuzi, kufedhehesha na kumudhalilisha (defarmatory) mgombea mwenzake.

Anatumia lugha ya kibabe yenye kuchochea uvunjifu wa amani. Amekuwa akirudia rudia kuwa ana watu wengi nyuma yake (wafuasi wake) na kwamba wasijaribu kumugusa maana moto watakaouwasha hakuna atakaye weza kuuzima. Bahati nzuri wale wa upande mwingine wamejitahidi sana kuwa wavumilivu na wastaarabu.

Sasa ni nani mwenye mamlaka ya kutiepusha tusifike pabaya? Jee Tume yetu ya uchaguzi inayo mamlaka ya kumchukulia hatua zipi za kisheria mtu kama huyu? Je, ina mamlaka ya kumpa onyo kali, karipio au kufuta uteuzi wake wa kuwa mgombea kabla hajawasha huo moto anaousema?
Kanuni zenyewe,achilia Sheria ambazo ndio sababu ya kanuni unazosemea zinaandaliwa kwa miswaada ya hati za dharura kwa makengo mahsusi,kwa mazingira mahsusi. Unatarajia Nini.Japo sikatai Hilo ila Mara nyingi zipo Nia ovu nyuma take.
 
Hahaaaaaa hizo ni mali za wenye mamlaka ndio maana hazina faida kwako. Kila kitu unalipia alafu unasema mali zenu...labda kama upo kwenye mamlaka
Kweli wewe huelewi maana ya natural resources aka maliasili. Yaani unasema tunalipia dhahabu, tanzanite, sangala, misitu, hewa ya oxygen, diamond etc!
 
Kheri James:Kumtukana rais wetu sasa basi, polisi tuachieni.

 
Kuna kanuni zilizowekwa kwa mjibu wa sheria ya uchaguzi wa namna ambavyo wagombea wanatakiwa kuzifuata wanapofanya kampeni kushawishi kura za wananchi. Kabla ya kuteuliwa na NEC wagombea hawa waliapa mbele ya mahakimu au majaji kuwa watazingatia kanuni na maadili hayo yaliyowekwa kwa mjibu wa sheria.

Kuna mgombea fulani ambaye ni wazi kabisa katika kampeni zake hazingatii kabisa hizo kanuni, taratibu na maadili aliyoapa kufuata. Lugha na maneno anayotumia dhidi ya mgombea mwenzake hayakubaliki hayakubaliki hata kidogo na ni kinyume na maadili yaliyowekwa na sheria hiyo. Ni maneno makali yenye kuuzi, kufedhehesha na kumudhalilisha (defarmatory) mgombea mwenzake.

Anatumia lugha ya kibabe yenye kuchochea uvunjifu wa amani. Amekuwa akirudia rudia kuwa ana watu wengi nyuma yake (wafuasi wake) na kwamba wasijaribu kumugusa maana moto watakaouwasha hakuna atakaye weza kuuzima. Bahati nzuri wale wa upande mwingine wamejitahidi sana kuwa wavumilivu na wastaarabu.

Sasa ni nani mwenye mamlaka ya kutiepusha tusifike pabaya? Jee Tume yetu ya uchaguzi inayo mamlaka ya kumchukulia hatua zipi za kisheria mtu kama huyu? Je, ina mamlaka ya kumpa onyo kali, karipio au kufuta uteuzi wake wa kuwa mgombea kabla hajawasha huo moto anaousema?

Ccm bwana
Yan hapo upinzan hawana Ela, wabunge na madiwani wao wameenguliwa kwa asilimia kubwa

Nyie mna kila kitu Lkn bado mnalialia tu
 
Ma CCM yamejawa na hofu baada ya kumsikia Lissu akisema Wakurugenzi wote ni lazima wapitishe mawakala wa Chadema katika vitu vyote vya kupigia kura. Ni wazi kuwa walikua wanaandaa nao la mkono.
 
Kuna utaratibu wa kisheria unaopaswa kufuatwa ili kuwasilisha malalamiko wakati wa kampeni. Malalamiko yanawasilishwa katika kamati za Maadili ngazi mbalimbali. Malalamiko dhidi ya mgombea Urais yanawasilishwa Kamati ya Maadili ya Kitaifa hivyo Mgombea Urais wa chama chochote anayo haki ya kuwasilisha malalamiko ndani ya saa 72 tangu kutokea kwa tukio hilo. Mambo mengine yanatakiwa yafanywe na wagombea na sio kuilaumu Tume.
 
sijawahi kuona Dr mwoga kama wewe, kwa nn usimtaje uyo mgombea.Ila najua kwa sababu ni majungu yako dhid ya uyo mgombea huwez kumtaja, sasa sidhani kama kuna tume inayoshughulika na majungu ya vijiweni.
 
Unajifanya hujaelewa ni nani anayetaka kuwasha moto? Of course vyombo vya habari vyenye uzalendo haviwezi kuandika au kurusha maneno yake ya kutaka kuvuruga amani yetu. Ila NEC tunadhani inatakiwa kumuadabisha mtu huyu mapema iwezekanavyo kabla hajatuvurugia amani yetu. Kwanza anajua fika kwamba hatashinda uchaguzi; ije mvua au lije jua. Katumwa na mabeberu kuja kutuvuruga ili mabeberu warudi kupora natural resources zetu.
Mku kura zetu mm na ww mbili kwa usiwasemee Watanzania wanajua watakayempigia. Kwa hiyo tuache muda uongee kwenye haki bila haki sijui nini kitakachofuata.Kama unavyoona walioenguliwa bila haki nini kinachoendelea kwa sass. Lisu mahitaji yake yanajulika kuwa uchaguzi uwe huru japo kuwa mm mwanaccm lakini tuache haki isimame ili tupate maendeleo dhulma haiwezi kutupa maendeleo
 
Ni sawa kabisa ila tume ya uchaguzi ikiendelea kumuacha hivyo hivyo, uvumilivu wa upande wa pili unaweza kushindikana. Na utakaposhindikana na wakaanza kujibu mapigo huo moto anaotaka uwake unaweza kweli ukawaka. Watakaoumia moto huo utakapowaka hasa watakuwa watoto, akina mama, walemavu na wazee. Tume angalao limpe onyo sasa hivi. Afanye kampeni za kiustaarabu kama ambavyo wenzake wanafanya. Wanamuogopa kitu gani? Wao ni tume huru. Na nchi yetu ni nchi huru. Hatupaswi kuogopa cho chote.
Wanaccm wenzangu huu mchezo hauitaji kukurupuka Lisu ni Mtu makini sana ndo maana ktk mangezi yake anajua anachoongea ni mwiba kwetu .
Amini Lisu ameshika kila nyanja kwani tuangalie mikutano kile anachoongea na kila akiongea anawauliza Wanachi then wajibu ni kweli yale waliyoyashudia au waliyofanyiwa na viongozi. Mfano usikilize mkutano wa jana Ifakara kwa yale aliyokua anaongea yaliwagusa Wanaifakara
 
Sidhani kama NEC ina uwezo wa kumchukulia hatua Rais Magufuli kwa kuibua hisia za ukabila na ukanda kwenye kampeni, jambo ambalo ni kosa kubwa kwa sheria zetu.

Mtu anayeegemea kwenye ukabila na ukanda, ni hatari sana kwa amani ya nchi yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
👊👊, safari tuna watu wanajifanya chongo na viziwi, yaani eti hawaoni wala kusikia yoote hayo.
 
Sidhani kama NEC ina uwezo wa kumchukulia hatua Rais Magufuli kwa kuibua hisia za ukabila na ukanda kwenye kampeni, jambo ambalo ni kosa kubwa kwa sheria zetu.

Mtu anayeegemea kwenye ukabila na ukanda, ni hatari sana kwa amani ya nchi yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
👊👊, safari tuna watu wanajifanya chongo na viziwi, yaani eti hawaoni wala kusikia yoote hayo.
 
Back
Top Bottom