Ni hatua zipi za kulipia kufungiwa Umeme na TANESCO?

Ni hatua zipi za kulipia kufungiwa Umeme na TANESCO?

Administer

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
1,271
Reaction score
1,604
Baba yangu amepewa control number alipe 320960 Ili aunganishiwe umeme. Nataka kumlipia kupitia Airtel money nielekezeni hatua za kufuata.
 
Nimepewa control number nilipe 320960 Ili nifungiwe umeme.Kwa anayejua hatua za kufuata añielekeze
 
Baba yangu amepewa control number alipe 320960 Ili aunganishiwe umeme. Nataka kumlipia kupitia Airtel money nielekezeni hatua za kufuata.

Nami nasubiri jibu niongeze maarifa……
 
Back
Top Bottom