Ni hayati Magufuli pekee aliyeweka wazi kuwa ili pesa za umma zisiibiwe zote ziingie mfuko mkuu wa Serikali. Marais waliopita huko nyuma walimezea


Cha ajabu akajitoa kwenye open government! Ila jamaa kama ni kizizi cha kukamata wajinga wa aina yenu alikuwa nacho.
 

Hapo ndio ilipozaliwa neno pesa za Magufuli, na yeye akawa anavimba kichwa kabisa pesa ni zake. Hadi akawa akifika mahali anaongea kwa nyodo kuwa hapa mmechagua mpinzani, hivyo siwezi kuleta maendeleo! Kweli tulipatikana. Na ule ugonjwa bado upo, hadi chawa wa sasa wanasema ni pesa za mama.
 
Ni katika utawala wa Magufuli pekee ambapo serikali yake iliokota vichwa vya treni bandarini halafu ikaja kuvinunua [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Na hilo ndio kosa kubwa katika utaratibu wa utawala wa kutomwajibisha mtu yeyote anaevunja sheria.
 
Ila ngoja waje team Asali usikie ujinga watakao coment kuhusu hoja yako mubashara kabisa!
 
Linanufaika na nini?
 
Kwa hiyo sasa haziibiwi?
 
Chuki zako kwa hayati zinajulikana. Kila jema alilofanya wewe unapinga

Usilete upotoshaji wa kijinga hapa, simkubali mlevi yoyote wa madaraka. Kwangu aliyofanya kwa usahihi sio wema, bali ni wajibu wake maana alikuwa analipwa mshahara, na ilikuwa ni kodi za wananchi sio mshahara wake. Nionyeshe ni wapi alisimamia kodi kujenga shule, hospitali, barabara, miundombinu ya maji nk nikapinga? Ama unadhani sijui nilikuwa nampinga kwa lipi? Ama unadhani ukisema nilikuwa napinga kila kitu itapoteza ukweli nilikuwa sikumkubali kwa lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…