Ni headphone/earphone za brand gani zina ubora wa juu?

Ni headphone/earphone za brand gani zina ubora wa juu?

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
12,001
Reaction score
27,175
Wadau,
Ni brand gani ya headphone au earphone zina midundo yenye ubora wa hali ya juu kwa kusikilizia muziki au audio ambayo haichoshi masikio hata ukitumia kwa muda mrefu,yenye uwezo wa kuondoa kelele za nje(nose cancellation) na kukufanya ufurahie muziki bila kuweka sauti kubwa yenye madhara masikioni.

Unaweza kutaja na bei na hata picha kama unayo na wapi inapatika.

Karibuni wajuzi.
Asante.
1662207573447.jpg
1662207316204.jpg
 
Beats by Dre ukipata ile over ear kubwa utakuja nishukuru baadae mkuu.. Zingine ni Samson SR850 over ear pia mziki wake sio poa haumiizi maskio wala kelele za nje husikii kabisa.
 
Beats by Dre ukipata ile over ear kubwa utakuja nishukuru baadae mkuu.. Zingine ni Samson SR850 over ear pia mziki wake sio poa haumiizi maskio wala kelele za nje husikii kabisa.
Asante mkuu, zinapatika wapi na bei gani au mpaka za kuagiza mtandaoni?
 
Me nitataja Mid rangers tu sio izo JBL za mamilioni.

1. Kwa Mazoezi natumia Redmi Airdot 3 na 3 Lite. (Dot 3 elfu 80 na Lite elfu 50).

2. Kwa music nikiwa ofisini au nafanya kazi kwenye PC natumia Anker Soundcore Q30 (Nilinunua 160).

3. Kwa kukaa tu ofisini na kuongea kwenye cm earpods za Apple gen 1 sio Pro. (Nilinunua 120 used).
 
Me nitataja Mid rangers tu sio izo JBL za mamilioni.

1. Kwa Mazoezi natumia Redmi Airdot 3 na 3 Lite. (Dot 3 elfu 80 na Lite elfu 50).

2. Kwa music nikiwa ofisini au nafanya kazi kwenye PC natumia Anker Soundcore Q30 (Nilinunua 160).

3. Kwa kukaa tu ofisini na kuongea kwenye cm earpods za Apple gen 1 sio Pro. (Nilinunua 120 used).
Asante mkuu, ila kwanini umezigawa hivyo kutokana na matumizi? Namaanisha kwa mfano hizo za mazoezi huwezi kusikiliza ukiwa umetulia? Au tofauti yake inakuwa nini? Na ulinunua wapi?
 
Back
Top Bottom