Ni hii Simba inayoenda makundi au kuna ingine?

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Baada ya game na Singida nimetafakari mengi juu ya hawa ndugu zetu ambao karibu wiki nzima hii wamekua wakituzomea yanga kuwa safari yetu shirikisho inaenda kuisha leo.

Ni lweli mpira una matokeo matatu na kiukweli sisi tunakwenda kupambana kwa kadri ya uwezo wetu,tukimtegemea mungu pia katika yote

Lakini mwisho leo baada ya kuiangalia simba ikipambana na kutoka suluhu kule singida,simba hii hii iloyopoteza kwa azam hivi karibuni kweli italeta upinzani kwa akina Mamelodi huko makundi?au kuna kikosi cha ziada?nini tutegemee?

Eeh mungu tutangulie.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Katafute interview moja alifanya ibenge itakusaidia kuhusu simba yaani simba kwenye Caf champions league hawachezi vile na usije ukaangalia simba kwenye league kama umepangwa nayo Caf champions league it's totally different.
 
Katafute interview moja alifanya ibenge itakusaidia kuhusu simba yaani simba kwenye Caf champions league hawachezi vile na usije ukaangalia simba kwenye league kama umepangwa nayo Caf champions league it's totally different.
Mnajipa moyo tu.. simba ya chama, miquison na kagere sawa ila sio hii ya wakina kibu
 
Tuombe Dirisha Dogo Mo Amerudi kwenye Timu tunaimani atasajili.

SIMBA HAINA WACHEZAJI WAKUBWA, WAZURI WA KUAMUA MECHI KUBWA.

HAWA AKINA.
SAKO.
BANDA
KIBU.
OKWA.
Dejan.
Onyango.
Ottara.

HAWA NI MIZIGO.
Mizigo ya miiba
 
Wakati wa Usajili Mo Alijitoa.....

Simba Haina wachezaji ndio maana ilihusishwa na wachezaji zaidi ya kumi na ikaishia kuwakosa wooote.

1.Bambala.
2. MANZOKI.
3.Bobosi.
4.Azizi K
5.Adebayor
6
Orodha ni Ndefu sanaaaaa!

WACHEZAJI MIZIGO.
Banda. .................... .Boko
Sackho. ................... .Nyoni.
Okwa. ............... ...Gadiel.
Dejan. ....................... Mwenda.
Kanute. ......................... Kyombo.
(Akpan)
Onyango.
 
mtoa mada hujui mpira umewaza kimama sana,mi nilidhani utachambua kitaalamu makosa ya simba na kipi cha kurekebisha ila kwa upumbavu wako na upoyoyo eti kwa kuwa simba amedroo na singida na kufungwa na azam ndio mana hatafanya kitu CAF,aliyekwambia huko CAF timu hazijafungwa wala kudroo kwenye ligi zao ni nani? kwani siku zote simba ikiingia makundi na kuvuka anakua hajafungwa nyumbani wala kudroo?? kwani simba kutopata nmatokeo kwa azam au singida manake hizo timu ni vilaza?
 
Mtoa post ni kilaza wa kiwango cha standard gauge
 
Umemshinda ihefu timu ya mwisho kwa shida eti unakwenda kumtoa mamelodi...jamani jamani..

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Katafute interview moja alifanya ibenge itakusaidia kuhusu simba yaani simba kwenye Caf champions league hawachezi vile na usije ukaangalia simba kwenye league kama umepangwa nayo Caf champions league it's totally different.
Acha porojo za kijiweni kwa mwendo huu wa kutoana jasho na ihefu huko mbele patakua pagumu sana
 
Tuombe Dirisha Dogo Mo Amerudi kwenye Timu tunaimani atasajili.

SIMBA HAINA WACHEZAJI WAKUBWA, WAZURI WA KUAMUA MECHI KUBWA.

HAWA AKINA.
SAKO.
BANDA
KIBU.
OKWA.
Dejan.
Onyango.
Ottara.

HAWA NI MIZIGO.
Kwani mkuu DEJAN mpaka leo hii bado anachezea simba eeeh 🤣🤣🤣
 
Ukitaka kujua ubora wa simba upangwe nae makundi kombe la klub bingwa Afrika..
 
Siku hazifanani mkuu, ni kawaida katika maisha kushuka na kupanda. Upe muda wakati
 
Sijui Gadiola mnene nioko niokooo haya sasa kila mechi kwenu inaacha malalamiko tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…