Middleage Life
Member
- Mar 15, 2015
- 31
- 16
Wadau heshima yenu,
Nina tatizo japo sio la muda mrefu sana, katika maeneo yetu ya uzazi wanaume. Moja ya sababu ninazohisi ni kunywa mara kwa mara dawa za Malaria za Kichina hasa Artesunate na Artemether kama vile Duo- cotecxin.
Naomba yeyote anayejua Hospitali nzuri au hata Doctor mzuri kwa Dar nijulishe kwa PM au hapa tu..
Nina tatizo japo sio la muda mrefu sana, katika maeneo yetu ya uzazi wanaume. Moja ya sababu ninazohisi ni kunywa mara kwa mara dawa za Malaria za Kichina hasa Artesunate na Artemether kama vile Duo- cotecxin.
Naomba yeyote anayejua Hospitali nzuri au hata Doctor mzuri kwa Dar nijulishe kwa PM au hapa tu..