Na Wanao Jamba jamba Kwa sana???!Nyie wanawake mnaokoroma mnakera Sana.
Hulipendi kivipi kwani huwa unajisikia ukoromapo? Ukioa tena au shem akirudi kila mtu awe na chumba chake cha kulala, siku za mech mnapiga popote zen kila mtu anapotelea geton mwake simu mnazo, ukitaka tena piga simu aje au uende.Unaweza kuzan ni jambo la mzaha au kuchekesha lkn ukweli ni kwamba trh 7 mwezi wa 8 2024
Shemeji yenu ameondoka nyumban na kuvunja mji kisa anasema amechoka na tabia yangu ya kukiroma usiku
Ombi langu naombeni mnisaidie dawa ya kupambana na jambo hili maana hata mimi silipendi
Sana sanaNyie wanawake mnaokoroma mnakera Sana.
Mwanaume akilala na mwanamke Hadi kukoroma ni kwamba ana Amani kuwa Yuko na MTU Sahihi na Salama, sasa hiki kizazi cha Nyoka ndio kigumu kuelewaUnaweza kuzan ni jambo la mzaha au kuchekesha lkn ukweli ni kwamba trh 7 mwezi wa 8 2024
Shemeji yenu ameondoka nyumban na kuvunja mji kisa anasema amechoka na tabia yangu ya kukiroma usiku
Ombi langu naombeni mnisaidie dawa ya kupambana na jambo hili maana hata mimi silipendi
πSema Kuna baadhi ya ukoromaji ni kero mno! Pole