BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Kukoroma hakuhusiani na unene Mimi Nina kilo 57 ila nikiwa nimelala kwa mujibu wa wanaonisikia ni kama SimbaFanya mazoezi punguza unene, acha pombe, tafuta ile mitungi ya kupumulia ukilala, kafanye upasuaji wa kupunguza nyama kwenye njia ya hewa.
Mrudishe kisha mgawane vyumba vya kulala, ukishapiga miti unahama chumba ukalale kwa raha zako, mlingoti ukisimika tena unakwenda unapiga mashine kisha unarudi zako chumbani kwako kukoroma tena simple, akigoma kurudi ujue huyo siyo wako ana bwana wake anayempenda hiyo kukoroma ilikuwa kisababu.Unaweza kudhani ni jambo la mzaha au kuchekesha lakini ukweli ni kwamba tarehe 7 mwezi wa 8, 2024
Shemeji yenu ameondoka nyumbani na kuvunja mji kisa anasema amechoka na tabia yangu ya kukoroma usiku.
Ombi langu naombeni mnisaidie dawa ya kupambana na jambo hili maana hata mimi silipendi.
Nimeweka sababu nyingi hapo.Kukoroma hakuhusiani na unene Mimi Nina kilo 57 ila nikiwa nimelala kwa mujibu wa wanaonisikia ni kama Simba
Mpaka nawashangaa akona mama wa siku hizi, software sijui ni wapi hizi. Hamna kitu kabisa. Haijalishi ni profesor au mkulimaKweli software za wanawake siku hizi hazipo sawa
Usilale chaliUnaweza kudhani ni jambo la mzaha au kuchekesha lakini ukweli ni kwamba tarehe 7 mwezi wa 8, 2024
Shemeji yenu ameondoka nyumbani na kuvunja mji kisa anasema amechoka na tabia yangu ya kukoroma usiku.
Ombi langu naombeni mnisaidie dawa ya kupambana na jambo hili maana hata mimi silipendi.
Kukoroma ni ishara nyumba ina dume la mbegu. Alikuwa anataka wote mlale kama akina zuchu? Inabidi mwizi akipita nje akisikia unakoroma ajue kuna bandidu ndani.Unaweza kudhani ni jambo la mzaha au kuchekesha lakini ukweli ni kwamba tarehe 7 mwezi wa 8, 2024
Shemeji yenu ameondoka nyumbani na kuvunja mji kisa anasema amechoka na tabia yangu ya kukoroma usiku.
Ombi langu naombeni mnisaidie dawa ya kupambana na jambo hili maana hata mimi silipendi.
Kwa ajili ya nini? Vijana mnajiliza sana kuhusu wanawake.Usilale chali
UsikoromeKwa ajili ya nini? Vijana mnajiliza sana kuhusu wanawake.
Hawa wanawake wa siku hizi hasa wa 90's na 2000's hawana coding nzuri ndio maana wanakuwa faulty.Mpaka nawashangaa akona mama wa siku hizi, software sijui ni wapi hizi. Hamna kitu kabisa. Haijalishi ni profesor au mkulima
Kila siku ya maisha yako ππππImagine, umelala na mtu aba koroma kama Generator π
Kabisa kabisa.....zinanyima usingizSema Kuna baadhi ya ukoromaji ni kero mno! Pole
π€£π€£π€£ AiseeIla ukiwa humpendi mtu unaona keroo kubwa hata akikohoa au kupumua
Mwizi ndio atafurahi maana atajua dume limelala fofofoKukoroma ni ishara nyumba ina dume la mbegu. Alikuwa anataka wote mlale kama akina zuchu? Inabidi mwizi akipita nje akisikia unakoroma ajue kuna bandidu ndani.
Achana naye mwehu huyo, vuta mwingine maisha yaendelee. Mwanaume halii kuachwa, nyie vijana wa siku hizi mpoje?