GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kumbe Simba wamekubali kwamba kipimo cha mpira wa Tz ni Wananchiiiiii..Kwa Tanzania hii Timu ambayo angalau inakaribia Hadhi ya Simba SC ni Ihefu FC kutoka Highland Estates Mbarali Mkoani Mbeya.
Hivyo kwa Kulitambua hilo na Kuitambua Uongozi wa Simba SC umeamua Kuialika Ihefu FC peke yake na kutozialika Timu zingine Tatu ambazo zina Urafiki wa Kinafiki wa Kuimaliza Simba SC ila wao sasa ndiyo Wanamalizwa.
sasa kwa taarifa yako mmiliki wa ihefu ni yanga pureKwa Tanzania hii Timu ambayo angalau inakaribia Hadhi ya Simba SC ni Ihefu FC kutoka Highland Estates Mbarali Mkoani Mbeya.
Hivyo kwa Kulitambua hilo na Kuitambua Uongozi wa Simba SC umeamua Kuialika Ihefu FC peke yake na kutozialika Timu zingine Tatu ambazo zina Urafiki wa Kinafiki wa Kuimaliza Simba SC ila wao sasa ndiyo Wanamalizwa.
Mbona huwa anawaadhibu mnoosasa kwa taarifa yako mmiliki wa ihefu ni yanga pure
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaekulea ana kazi
πππππππKwa Tanzania hii Timu ambayo angalau inakaribia Hadhi ya Simba SC ni Ihefu FC kutoka Highland Estates Mbarali Mkoani Mbeya.
Hivyo kwa Kulitambua hilo na Kuitambua Uongozi wa Simba SC umeamua Kuialika Ihefu FC peke yake na kutozialika Timu zingine Tatu ambazo zina Urafiki wa Kinafiki wa Kuimaliza Simba SC ila wao sasa ndiyo Wanamalizwa.
Usiisahau hii uliyoiandika wewe mwenyewe....!!Mbona huwa anawaadhibu mnoo
Safi sana huyo dada ni kilaza.Usiisahau hii uliyoiandika wewe mwenyewe....!!
View attachment 2786180
Kwenye uzi huu
Mtangazaji wa EFM Twalib Muwa: Simba SC kuishinda Al Ahly labda ishinde Njaa tu
Ungemwacha tuu baada ya mechi tumwagie upupu.... Mtani, kwa komenti hii nakuacha ili baada ya mechi nifanye haya uliyoyapendekezawww.jamiiforums.com
Kwahiyo majibu yako yanafit kwenye swali lako...
Nam-tag GENTAMYCINE kama alivyotaka kwenye post yake #12 hapo juu..!!
Asante, ila hapo kwenye ukilaza hapo ngoja aje aseme mwenyewe KalpanaSafi sana huyo dada ni kilaza.
Bado haibadili maana kuwa huwa mnachakazwa mnooo...matokeo ni yale yale matatu ila nyie mmechagua kufeli kila siku kwa Ihefu...Usiisahau hii uliyoiandika wewe mwenyewe....!!
View attachment 2786180
Kwenye uzi huu
Mtangazaji wa EFM Twalib Muwa: Simba SC kuishinda Al Ahly labda ishinde Njaa tu
Ungemwacha tuu baada ya mechi tumwagie upupu.... Mtani, kwa komenti hii nakuacha ili baada ya mechi nifanye haya uliyoyapendekezawww.jamiiforums.com
Kwahiyo majibu yako yanafit kwenye swali lako...
Nam-tag GENTAMYCINE kama alivyotaka kwenye post yake #12 hapo juu..!!
Dada yupi hebu mtaje ili ajulikane...maana hapo zimekotiwa replys mbili...mtaje tuu kwa jina...Safi sana huyo dada ni kilaza.
Ihefu kaonja kashaona raha.Ihefu tuachie my wetu