Ni ile hali ya kuisoma namba

we dada mkorofii yaani umevizia kaenda darasani umepiga picha simu yake,!!!!! umekuwa mnoko kweli.
 
we dada mkorofii yaani umevizia kaenda darasani umepiga picha simu yake,!!!!! umekuwa mnoko kweli.
Hahaaaaa...nikweli alikua kaiacha chaji[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] ....nikapiga picha...... Hahaaaaa....
Kwahali hii nchi ni yetu but tutaihama....sio kwa shida hizi jamani
 
Hahaaaaa...nikweli alikua kaiacha chaji[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] ....nikapiga picha...... Hahaaaaa....
Kwahali hii nchi ni yetu but tutaihama....sio kwa shida hizi jamani
Halafu ukute katika list ya wanaomchuna na wewe humoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…