mzalendo.com
JF-Expert Member
- Aug 2, 2015
- 427
- 301
Tatzo sio serikali yy mwenyewe labda hajipendi anaweza pewa ela nzur na bado akamiliki simu kimeoAiseeee kwa hali hii jamani hii nchi ....sio kwa ugumu huu wa maisha......jamani hii ni simu ya mwalimu tena wa sayansiView attachment 407705
yeye kaonyesha simu ni nini lakini?
Duuh....Mungu anawaona aiseeee kama wapo wanaompiga mizinga huyu mwalimu aiseeee....Kwani nyie huwa mnazingatia hayoo, mbona hata kama tuna matatizo huwa mnatupiga mizinga.
Duuh....kwahii simu labda ndo laptop new brand[emoji12] [emoji12]Hivi zile laptop zenu tayari mmepewa ?
Acha waisome namba eeeeheeHapa kazi tu
Kwamba ni mapacha ktkt vimeo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji12] [emoji12] [emoji38] [emoji38]mwenzake uyu hapa
Bashiri kwa aina hiyo ya CMU itakua nkoa ganihivi huo ni mkoa gani vilee,?? nataka nije kumsalimia mwalimu wa science.
Sio kwa kujichukia huko aiseeeee[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Tatzo sio serikali yy mwenyewe labda hajipendi anaweza pewa ela nzur na bado akamiliki simu kimeo
Anza majadiliano hayo mkuukuna vingi vya kujadili kwenye hiyo picha...Basi tu.
Hahaaaaa kwa kweli huku ni kuendekeza ujinga[emoji38] [emoji38] [emoji38]huyo mwalimu kashindwa hata kujiongeza ?? ..ningelikuwa Mimi nafanya inspection kwa wanafunzi ninao wafundisha nadhani nisingekosa hata Tecno p3 make wanafunzi wanazo cm za maana mpaka iPhone ..unajua sipendagi ujinga mimi
Kwamba ni mapacha ktkt vimeo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji12] [emoji12] [emoji38] [emoji38]
Hahaaaaa poa ntamwambia akutafute atheeeeeee...Aje nimpe Nokia
Hapana mkuu Mimi nipo tempo shule moja huku...Alaaa kumbe mis vonfidence ni mwalimuuu
aisee nimekuona[emoji37] Tatizo ni Fisiemu