Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Habari wana wanahistoria.
Katika pitapita zangu nimepata kusikia kabila hili dogo linaloitwa WAZIRANKENDE hasa nimewasikia saana maeneo ya mkoa wa Kigoma na Kagera.
Kama kuna mtu anajua chochote kuhusu chimbuko na asili ya kabila hili tafadhari naomba anipe dondoo kidogo.
Katika pitapita zangu nimepata kusikia kabila hili dogo linaloitwa WAZIRANKENDE hasa nimewasikia saana maeneo ya mkoa wa Kigoma na Kagera.
Kama kuna mtu anajua chochote kuhusu chimbuko na asili ya kabila hili tafadhari naomba anipe dondoo kidogo.