Ni ipi asili na chimhuko la kabila la Wazirankende?

Ni ipi asili na chimhuko la kabila la Wazirankende?

Wazira nkede sio kabila bali ni ukoo( oluganda). Kila muhaya huwa na ukoo wake na watu wanaotoka ukoo mmoja hawawezi kuoana. Abazira nkende ni ukoo wa abayango kwahiyo neno abazirankende ni kama a.k.a yao ambayo maana yake ni kwamba ngedere kwao ni mwiko. Nkende ni ngedere au tumbili kwahiyo watu wa ukoo huo(abayango) hawapaswi hata kumgusa huyo mnyama kwani kwao ni mwiko.

Suala la chimubuko lao ni kama tu wabantu wengine,kuna wengine wanasema walitoka Uganda n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Ni hivyo magufuli ambaye alisema yeye Ni mzilankende anakuwaje msukuma??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nachojua hao cyo kabila bali koo au jamii ( clan ) zinazopatikana ktk makabila ya waha ,wahangaza ,wahutu kama ilivyo ,koo kama wajiji ,hao wazirankende ,wanyongozi n.k ambao ni waha lakini ukimuuliza ukoo anakuambia ni mzirankende n.k n.k
ndvyo ninavyofahamu
Hakuna ukoo wa wahutu,
Kuna kitu haukifahama abayango (wajiji) abazilankende ndio watawala wa eneo kubwa la Mkoa wa kagera Omwami Ruhinda wa Karagwe, Mtemi Nsoro na Baramba wa Ngara.
 
Back
Top Bottom