Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kufanya biashara yeyote?Mawazo mapya bado napokea mkuu
ila option hii kwangu itakuwa ngumu kwani niko tight na kibarua/kazi hivyo nataka nifavye issue nyingine ya kuniongezea kipato ambapo nitatafuta mtu wa kuisimamia, biashara nitakayoona itanifaa
Ukisema vichenchi unakosea. Because hata ukifingua hardware unakusanya vichenchi kama kawaida kwa siku.Biashara ya bajaji sihafiki afanye wacha wafanye wengine coz una shida gani? Mtu una 11millions ukakimbize upepo barabarani afu jioni unakusanya vichenchi ushenzi. No no no no. Mtoa mada cancel bajaj kwanza ajali zake ni risk sana.
Kwa mtu mwenye mtaji wa Tsh. milioni 11 afanye biashara ipi kati ya zifuatavyo itakayomlipa maeneo ya Arusha?
1. Hardware(cement,white cement, gypsum biard+powder, mikanda ya gypsum+screw, paints, squire pipe,nondo)
2. Home appliances (Tv, fridge, radio, blender, rice cook)
3. Vifaa vya umeme (Main switch, Socket breaker, Wire 2.5,1.5, squire box, earth road)
4. Duka la Simu & phones accessories
5. Duka la nguo za wanawake(Boutique)
Acha utapeli tupo wengi hapa tunaojifunza huku pm. Km unania ya dhati elezea hapaDeepPond njoo hapa umpe kijana mtazamo