Ni ipi bora kati ya kuwa wakala wa Selcom au Maxmalipo?

Peaceforever

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
2,030
Reaction score
2,200
Jamani naombeni kupata msaada kati ya selcom na maxmalipo ni ipi bora kuichukua, kwa maana ya kuwa wakala?

kwa kuangalia kama kuna tofauti kwenye commissions na effectiveness na vitu vingine.

Ntashukuru kupata mwangaza wakuu.
 
Wote wanyonyaji tu maana na wao ni mawakala hivyo utakuwa wakala wa wakala
 
Pole mkuu, ni kwamba hamna kitu kinachoptikana au
 
kinapatikana mfano ukiuza luku unapata 2%, vocha 5%, king'amuzi 1% pia machine zenyewe unapaswa kuzinunua max laki5 selcom wao wanauza laki4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…