Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serious mkuuAtarudi Simba kufua jezi za wachezaji.
Akuna linaloshindikana chini ya jua.Serious mkuu
Au anaweza akiingie kwenye utangazajiNa vituko vyake vyote lakini Manara ni survival mtoto wa mjini. Anaweza hata kuwa PR wa Vunja Bei
Ako na vyetiAu anaweza akiingie kwenye utangazaji
Si aliwahi kuwa mtangazaji huyoAko na vyeti
Manara ni bonge la msanii!! Atalia kisanii machozi debe na kumwangukia Mo!! Mwisho wa siku simba watasema mwana mpotevu hakataliwi kurudi nyumbani na mwanao akikunyea hauukati mkono.Kwa anaejua mahala huyu boya anaweza enda baada ya kufurushwa huko alikojibanza kwa kimvuli cha usemaji wa timu
Sijawahi kumkubali Manara na haitotokea iwe hivyo, lakini kwenye swala la riziki mtowaji ni Mungu na hakuna ajuwaye kesho.Kwa anaejua mahala huyu boya anaweza enda baada ya kufurushwa huko alikojibanza kwa kimvuli cha usemaji wa timu
Mpaka Sasa Yanga HatokiAfukuzwe amekosa nini kwani?
Wamesahau Manara ni kada wa chama la wana, ikimpendeza Chief Hangaya usishangae siku unaambiwa Manara ndio mkurugenzi wa mawasiliano ikulu au ndio msemaji wa wizara ya michezo.Kwann aenguliwe??
Manara ndio anacheza??
Alipokua Simba, mpaka tunapigwa goli tano tanoo ..ilikuaje????
ACHENI KUA MIROHO MIBAYA YAKIJINGA JINGA.
MANARA HIYO NISEHEM YA MAISHA YAKE, RIDHIKI YAKE.