Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakiyaMungu watu mnavituko jamani kha[emoji28][emoji28]Wanayanga hawanaga uvumilivu. Natabiri Haji atatimuliwa Yanga kisha atarudi kuwaomba msamaha Simba.
Atasema kule Yanga alienda kufanyakazi baada ya kuachishwa kazi tu, Yeye hajawahi kuwa mwanayanga.
Atatoa kadi yake ya uanachama ya Simba ataiweka mezani, atajikwaruza mwilini hadi itatoka damu, kisha atasema si mnaona hadi damu yangu inarangi nyekundu? - mimi ni Simba damu, sijawahi kuwa Uto.
Atasema akiwa kule Yanga alikuwa anatoa siri nyingi za kambi ya Yanga na kuisaidia Simba kutwaa ubingwa mara kumi mfululizo.
Kule uto mwenye akili ni Baba yangu na mzee Kikwete tu!. Waliobaki wote ni kama vile hamnazo!.
Huyu ndio Haji ninaemfahamu.
Mwanadamu hatma yake ni kifo tu ila ilimradi anaishi kuna mambo mengi yapo atafanya ..pengine zikamjia fursa nyingi kuliko za mwanzo. Only God knows what future hold.Kwa anaejua mahala huyu anaweza enda baada ya kufurushwa huko alikojibanza kwa kimvuli cha usemaji wa timu
Umekurupuka.Kwann aenguliwe??
Manara ndio anacheza??
Alipokua Simba, mpaka tunapigwa goli tano tanoo ..ilikuaje????
ACHENI KUA MIROHO MIBAYA YAKIJINGA JINGA.
MANARA HIYO NISEHEM YA MAISHA YAKE, RIDHIKI YAKE.
Ina maana yule zeruzeru anaweza kushika mtutuMtandao wa magari ya wizi si bado upo
Haswaa si ndo majambazi wa karamu hawa wazee wa mipango aka wazee wa misheni townIna maana yule zeruzeru anaweza kushika mtutu