Samahani kaka mkubwa,ila uwoga ni hulka ya mashoga yaani leo Magufuli akimvizia mke wangu nimuachie kwa sababu ananguvu ,big NO ! Haki ya wapalestina haipaswi kuhusiana na nguvu yao never ,alishasema Rais wa palestina wao watahakikisha hawana bidhaa moja tu amani na kweli pamoja na mafanikio yote waliyonayo bidhaa ya amani yao iko palestina wamewaachia maghorofa ,yaani watanzania wanaishi kwa raha kuliko waisrael maana hawamalizi mwezi bila kuua muisrael wala kumi ,mpaka watoke kwenye ardhi ya watu