Nyinyi ndio mnaibiwa mpaka wake zenu kwa uoga.Hujui umri wangu we kama unawapenda wapalestina washauri waache kugombana na waisrael wataketea waishe tena kwa huu uongozi wa kichaa mbwatukaji Trump wasijidanganye.
Nyinyi ndio mnaibiwa mpaka wake zenu kwa uoga.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji22] [emoji23]Hawa watu bwana achana nao. Pamoja na kusambaa ulimwengu mzima lakini wanatambuana.
Hahahaha, sawa chiefUkiwa nyuma ya keyboard unajiona jasiri, mwanamke kaishaamua kusepa na mtu hafu unajitia kutaka kupigana kijana pole
Ulitaka wakukunbatie wewe kama nani?wewe mbona humkubatii mzungu ila yeue ndo anakukumbatia?...hakuna watu wapuuzi na wabaguzi kama wayahudi chini ya jua
...ni mawakala wa shetani
Kunyanyasana ni human nature.Hata wazungu wananyanyasana.Hata kama wananyanyaswa cha msingi ni kwamba wanatambulika kama Jews.Hata waarabu wapo wanaojiona bora zaidi.waamerica pia.waasia pia wapo wanaojiona bora.Kwa hiyo usiwaonee Jews bure.wewe ndiyo hujui kitu kabisaaa
tena UNYAMAZE
swal la kuwarejsha Jews hilo lipo na hata juzi juzi Uganda wapo waliorejeshwa lakini shida inakuja hapa.
Jews ambao wametoka Africa wamekuwa wakitoa malalamiko kuwa wananyanyaswa sanaaaa na white Jews hapo ndipo hoja YANGU ilipojikita
Paleztina kill 10 Israel,Israel kill 200 palestina.God help palestina,give them intelligence to solve the crisis.Samahani kaka mkubwa,ila uwoga ni hulka ya mashoga yaani leo Magufuli akimvizia mke wangu nimuachie kwa sababu ananguvu ,big NO ! Haki ya wapalestina haipaswi kuhusiana na nguvu yao never ,alishasema Rais wa palestina wao watahakikisha hawana bidhaa moja tu amani na kweli pamoja na mafanikio yote waliyonayo bidhaa ya amani yao iko palestina wamewaachia maghorofa ,yaani watanzania wanaishi kwa raha kuliko waisrael maana hawamalizi mwezi bila kuua muisrael wala kumi ,mpaka watoke kwenye ardhi ya watu
Movie za kihindi zinadanganya.Kwani utamfanya nn hata kumloga huwezi, kabla hujamfikia utambulia kichapo na ukicheza ni kifo. Yaani mwanaume gani mwanamke kaishamua kwenda na wewe unajifanya kumpigania ondoa maisha ya movie za wahindi kichwani kwako
Wajuzi badala ya kutuelimisha kama mtoa mada alivyotuwakilisha mnaanza kushushuana kama watoto wa kike.wewe ndiyo hujui kitu kabisaaa
tena UNYAMAZE
swal la kuwarejsha Jews hilo lipo na hata juzi juzi Uganda wapo waliorejeshwa lakini shida inakuja hapa.
Jews ambao wametoka Africa wamekuwa wakitoa malalamiko kuwa wananyanyaswa sanaaaa na white Jews hapo ndipo hoja YANGU ilipojikita
ni asili ya uyahudi tangu kale kubaguana kwa vigezo vya mahala,rangi na tamaduni.refer samaritans and hebrews(wasamaria na waebrania)kuna waliozaliana wao kwa wao,hawa waljiona kuwa ni pure yaani wasafiiii(siyo WCB!!),na kuna waliokubali kuzaliana na mataifa mengine hivyo kuwa na hitilafu za kiutamaduni.wewe ndiyo hujui kitu kabisaaa
tena UNYAMAZE
swal la kuwarejsha Jews hilo lipo na hata juzi juzi Uganda wapo waliorejeshwa lakini shida inakuja hapa.
Jews ambao wametoka Africa wamekuwa wakitoa malalamiko kuwa wananyanyaswa sanaaaa na white Jews hapo ndipo hoja YANGU ilipojikita
upo sahihi lakinin
ni asili ya uyahudi tangu kale kubaguana kwa vigezo vya mahala,rangi na tamaduni.refer samaritans and hebrews(wasamaria na waebrania)kuna waliozaliana wao kwa wao,hawa waljiona kuwa ni pure yaani wasafiiii(siyo WCB!!),na kuna waliokubali kuzaliana na mataifa mengine hivyo kuwa na hitilafu za kiutamaduni.
sasa mzee c uliza swali utajibiwa?Wajuzi badala ya kutuelimisha kama mtoa mada alivyotuwakilisha mnaanza kushushuana kama watoto wa kike.
sasa Hawa jews wamefikia mbali ZAIDI na Kila rangi kujiona wao ndo original jewsKunyanyasana ni human nature.Hata wazungu wananyanyasana.Hata kama wananyanyaswa cha msingi ni kwamba wanatambulika kama Jews.Hata waarabu wapo wanaojiona bora zaidi.waamerica pia.waasia pia wapo wanaojiona bora.Kwa hiyo usiwaonee Jews bure.
Sijui kitu ndiomaana nipo jamvini kujifunza, lete shule.Wajuzi badala ya kutuelimisha kama mtoa mada alivyotuwakilisha mnaanza kushushuana kama watoto wa kike.
Ndo hivo.kila mtu anajiona kuwa bora kuliko mwingine.Hii mbaya sana.sasa Hawa jews wamefikia mbali ZAIDI na Kila rangi kujiona wao ndo original jews
majuzi juzi kulikuwa na mgogoro mkali coz wale jews wa Ethiopia walikuwa wanasema wao ndo original jews kuliko wale white
wakiwa na fact mbali mbali.
all in all dini ndizo zina wabeba Hawa jews
Leo nataka kujua historia ya Wayahudi nchini Marekani,yaani waliingiaje na wakapaje nguvu ?
Mwanye kulijua hili anisaidie.