Ni ipi kauli au msimamo rasmi wa Serikali ya Tanzania kufuatia kifo cha aliyekuwa Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar?

Ni ipi kauli au msimamo rasmi wa Serikali ya Tanzania kufuatia kifo cha aliyekuwa Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Tumeshuhudia baadhi ya nchi duniani zikitoa matamko au misimamo yao kufuatia kifo cha aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha Hamas Yahys Sinwar.

Kwa mfano Rais Joe Biden alitoa kauli ifuatayo: "Hii ni siku nzuri kwa Israel, Marekani na Dunia nzima"

"This is a good day for Israel, for the United States, and for the world,”

Ndugu zangu naomba kujua msimamo, tamko ,mtazamo au kauli ya Serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye tukio hili kubwa duniani

Watanzania wengi naamini wangependa wajue Serikali yao imesimama upande upi wapi kwenye suala hili

Niwatakie usiku mwema.
 
Kupigania maslahi ya watu wake ndio unamuita gaidi? Kama yeye ni gaidi, Netanyahu ni nani?
Kwa mzania huo, wote ni magaidi.

Sinwar ni shujaa, hakukimbilia uhamishoni akawaacha watu wake katika shida. Aliishi nao hapohapo Gaza, akauawa nao hapohapo Gaza.

Subiri siku vita itokee hapa Tanzania uone ni kiongozi gani atabaki nasi hata baada ya mwaka mmoja wa vita.
 
Kupigania maslahi ya watu wake ndio unamuita gaidi? Kama yeye ni gaidi, Netanyahu ni nani?
Kwa mzania huo, wote ni magaidi.

Sinwar ni shujaa, hakukimbilia uhamishoni akawaacha watu wake katika shida. Aliishi nao hapohapo Gaza, akauawa nao hapohapo Gaza.

Subiri siku vita itokee hapa Tanzania uone ni kiongozi gani atabaki nasi hata baada ya mwaka mmoja wa vita.
Alibaki hapo hapo Gaza kwa ajili ya kupigania madaraka yake na si kingine
 
Angekuwa anapigania madaraka angeishi uhamishoni, ili awe na uhakika wa kuishi kukilinda cheo chake.

Unatumia akili yako sawasawa? Uishi kwenye machafuko, mabomu kila siku kulinda madaraka?
We unadhani kutoka nchini kwake siyo mtihani?maadui wanafuatilia steps zako kila mahali,mbona wapo pia waliouawa huko huko uhamishoni
 
Angekuwa anapigania madaraka angeishi uhamishoni, ili awe na uhakika wa kuishi kukilinda cheo chake.

Unatumia akili yako sawasawa? Uishi kwenye machafuko, mabomu kila siku kulinda madaraka?
Huko uhamishoni unadhani ndio angekwepa mkono wa wayahudi?
Oct 7 itakuwa siku ya kumbukumbu kwa wapelestina na hawatarudia ku support upuuzi wa kigaidi km walioufanya Hamas. Imekuwa ni mahangaiko makuu kwa watu wa Gaza
 
"We neither face east, nor west". Hiyo ndio sera rasmi. Simply, NEUTRALITY.

However, Nelson Mandela once said, if you are silent in the situation of oppression ...

Whether he (Mandela) was right or otherwise, it is a matter of personal taste!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Tumeshuhudia baadhi ya nchi duniani zikitoa matamko au misimamo yao kufuatia kifo cha aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha Hamas Yahys Sinwar.

Naomba kujua msimamo, tamko ,mtazamo au kauli ya Serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye tukio hili kubwa duniani

Watanzania wengi naamini wangependa wajue Serikali yao imesimama upande upi wapi kwenye suala hili

Niwatakie usiku mwema
Chameleon
 
Kukomesha ugaidi duniani kama tulivyokomesha MKIRU
 
Kupigania maslahi ya watu wake ndio unamuita gaidi? Kama yeye ni gaidi, Netanyahu ni nani?
Kwa mzania huo, wote ni magaidi.

Sinwar ni shujaa, hakukimbilia uhamishoni akawaacha watu wake katika shida. Aliishi nao hapohapo Gaza, akauawa nao hapohapo Gaza.

Subiri siku vita itokee hapa Tanzania uone ni kiongozi gani atabaki nasi hata baada ya mwaka mmoja wa vita.
Hao hamas ni magaidi sio wapigania haki hivi vikundi hata wananchi wao hawavitaki
 
Angekuwa anapigania madaraka angeishi uhamishoni, ili awe na uhakika wa kuishi kukilinda cheo chake.

Unatumia akili yako sawasawa? Uishi kwenye machafuko, mabomu kila siku kulinda madaraka?
Alikuwa kweli mzalendo just imagine mfukoni wamemkuta na shekels 40000 sawa na 29 Millioni za kitanzania na mentos za kutafuna. Na vinginevyo
 
Kama kwa mungu binadamu wote ni sawa, na mujibu wa dini Kiislamu ukifa kwaajili dini sio kosa na unapata thawabu na unapewa bikra zako 72 mpya. Na yeye alikuwa ni kipaumbele kuwashauli wenzake waliotagulia. Kuchukua bikra 72.
Na huku nayeye akizikimbia hizo bikra 72. Mm naona kupinga kifo cha sinwar ni unafiki mkubwa na kutokuujua Uislamu.
Kwa mujibu wa dini ya Kiislamu ilibidi waislamu wote duniani waungane na kuishukuru Israel kumsaidia sinwar kupata bikra zake 72.
Kwa sababu hata ingekuwaje sinwar angekufa tu.

Mm naona serikali ya tz kipinga kifo cha sinwar itakuwa ni unafiki mkubwa na itatuchafua kimataifa. kwa sababu ilitakiwa hili swala waliseme kabla. Na ukizingatia saizi tz sio nchi yenye amani tena. Watu wanapotea kila siku.

Kama yametushinda yatanzania tutayaweza ya gaza.
 
1002310826.jpg
1002310801.jpg
1002310827.jpg
 
Back
Top Bottom