Ni ipi kauli au msimamo rasmi wa Serikali ya Tanzania kufuatia kifo cha aliyekuwa Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar?

Ni ipi kauli au msimamo rasmi wa Serikali ya Tanzania kufuatia kifo cha aliyekuwa Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar?

Kama kwa mungu binadamu wote ni sawa, na mujibu wa dini Kiislamu ukifa kwaajili dini sio kosa na unapata thawabu na unapewa bikra zako 72 mpya. Na yeye alikuwa ni kipaumbele kuwashauli wenzake waliotagulia. Kuchukua bikra 72.
Na huku nayeye akizikimbia hizo bikra 72. Mm naona kupinga kifo cha sinwar ni unafiki mkubwa na kutokuujua Uislamu.
Kwa mujibu wa dini ya Kiislamu ilibidi waislamu wote duniani waungane na kuishukuru Israel kumsaidia sinwar kupata bikra zake 72.
Kwa sababu hata ingekuwaje sinwar angekufa tu.

Mm naona serikali ya tz kipinga kifo cha sinwar itakuwa ni unafiki mkubwa na itatuchafua kimataifa. kwa sababu ilitakiwa hili swala waliseme kabla. Na ukizingatia saizi tz sio nchi yenye amani tena. Watu wanapotea kila siku.

Kama yametushinda yatanzania tutayaweza ya gaza.

Hizo hadithi za bikra umezitoa kanisani ?? kama Yesu alikufa kifo cha kuuawa na yeye kapata bikira 72 ??
 
Alibaki hapo hapo Gaza kwa ajili ya kupigania madaraka yake na si kingine
Una uhakika ni madaraka!?
Ni kina nani waliiganya Gaza kujitawala kama sio Hamas?
Hata historia ya Gaza unaijua wewe!?
 
We unadhani kutoka nchini kwake siyo mtihani?maadui wanafuatilia steps zako kila mahali,mbona wapo pia waliouawa huko huko uhamishoni
Unaongea pumba we jamaa sijui ni kichaa au mwendawazimu.
 
Huko uhamishoni unadhani ndio angekwepa mkono wa wayahudi?
Oct 7 itakuwa siku ya kumbukumbu kwa wapelestina na hawatarudia ku support upuuzi wa kigaidi km walioufanya Hamas. Imekuwa ni mahangaiko makuu kwa watu wa Gaza
Tulio wewe nguruwe pori.
Usisahau hao mashoga wenzake wa Israel unaowashabikia ndio walianza kuua na kukanyaga watu na vifaru Agosti 23.
Usisahau kuwa kila mwaka raia takriban 40+ hususan watoto chini ya miaka 12 wanakamatwa na IDF na kuwekwa jela za watu wazima.
Hivi wewe una akili kuliko viongozi wa Ireland,Belgium,Brazil,Spain,Cuba na Colombia!??
Wewe si takataka tu kwa hao viongozi!?
Hao wamesadikisha ukweli kuwa Israel ni taifa la KISHENZI na wamevunja nao mahusiano ya kidiplomasia na Israel.
 
Kupigania maslahi ya watu wake ndio unamuita gaidi? Kama yeye ni gaidi, Netanyahu ni nani?
Kwa mzania huo, wote ni magaidi.

Sinwar ni shujaa, hakukimbilia uhamishoni akawaacha watu wake katika shida. Aliishi nao hapohapo Gaza, akauawa nao hapohapo Gaza.

Subiri siku vita itokee hapa Tanzania uone ni kiongozi gani atabaki nasi hata baada ya mwaka mmoja wa vita.
Israel hata uende huko uhamishoni inakuulia huko huko mfano Ismaili Haneyeh alipigiwa hapo hapo Iran kwa hiyo Sinwar ameona kwenda uhamishoni ni kazi bure Israel hamshindwi
 
We nguruwe wa kufugwa nenda kawasaidie hao magaidi
Tuliza kishundu mwantumu wewe.
Kila mtu anatambua Israel ndio gaidi.
Ndio maana Adolf Hitler alisema amewaacha dunia ijionee ni wanyama wa aina gani hawa.
Kizazi chako chote hakimfikii kifikra Hitler hata robo.
 
Wacha wavune walichokitaka. October 07/ 2023 Walipanda mbegu hii.
Na hapo naona watalipiza tena makombora 200 toka Iran.
 
Kupigania maslahi ya watu wake ndio unamuita gaidi? Kama yeye ni gaidi, Netanyahu ni nani?
Kwa mzania huo, wote ni magaidi.

Sinwar ni shujaa, hakukimbilia uhamishoni akawaacha watu wake katika shida. Aliishi nao hapohapo Gaza, akauawa nao hapohapo Gaza.

Subiri siku vita itokee hapa Tanzania uone ni kiongozi gani atabaki nasi hata baada ya mwaka mmoja wa vita.
Ugaidi ni nini kwa tafsiri yako?
 
Tuliza kishundu mwantumu wewe.
Kila mtu anatambua Israel ndio gaidi.
Ndio maana Adolf Hitler alisema amewaacha dunia ijionee ni wanyama wa aina gani hawa.
Kizazi chako chote hakimfikii kifikra Hitler hata robo.
Vipi Mohammad na Hitler nani ana akili nyingi kuliko mwenzie?
 
Tulio wewe nguruwe pori.
Usisahau hao mashoga wenzake wa Israel unaowashabikia ndio walianza kuua na kukanyaga watu na vifaru Agosti 23.
Usisahau kuwa kila mwaka raia takriban 40+ hususan watoto chini ya miaka 12 wanakamatwa na IDF na kuwekwa jela za watu wazima.
Hivi wewe una akili kuliko viongozi wa Ireland,Belgium,Brazil,Spain,Cuba na Colombia!??
Wewe si takataka tu kwa hao viongozi!?
Hao wamesadikisha ukweli kuwa Israel ni taifa la KISHENZI na wamevunja nao mahusiano ya kidiplomasia na Israel.
Kwahiyo leo viongozi wa hayo mataifa uliyoyataja wana akili sana? Sio ninyi munaodai kuwa hao ni mashoga kwahiyo akili hawana?
 
Kwahiyo leo viongozi wa hayo mataifa uliyoyataja wana akili sana? Sio ninyi munaodai kuwa hao ni mashoga kwahiyo akili hawana?
Uliwahi kunisikia nikiongea hilo!?
Humu ndani miaka yote huwa anasemwa USA na washirika wake.
Aya mbona unanilisha maneno ambayo sikusema!??
 
Kupigania maslahi ya watu wake ndio unamuita gaidi? Kama yeye ni gaidi, Netanyahu ni nani?
Kwa mzania huo, wote ni magaidi.

Sinwar ni shujaa, hakukimbilia uhamishoni akawaacha watu wake katika shida. Aliishi nao hapohapo Gaza, akauawa nao hapohapo Gaza.

Subiri siku vita itokee hapa Tanzania uone ni kiongozi gani atabaki nasi hata baada ya mwaka mmoja wa vita.
Alikuwa anaishi kwa kujificha!

Hata hivyo alikuwa ana kosa njia ya kutorokea maana Israel amebrock kila pande
 
Kama kwa mungu binadamu wote ni sawa, na mujibu wa dini Kiislamu ukifa kwaajili dini sio kosa na unapata thawabu na unapewa bikra zako 72 mpya. Na yeye alikuwa ni kipaumbele kuwashauli wenzake waliotagulia. Kuchukua bikra 72.
Na huku nayeye akizikimbia hizo bikra 72. Mm naona kupinga kifo cha sinwar ni unafiki mkubwa na kutokuujua Uislamu.
Kwa mujibu wa dini ya Kiislamu ilibidi waislamu wote duniani waungane na kuishukuru Israel kumsaidia sinwar kupata bikra zake 72.
Kwa sababu hata ingekuwaje sinwar angekufa tu.

Mm naona serikali ya tz kipinga kifo cha sinwar itakuwa ni unafiki mkubwa na itatuchafua kimataifa. kwa sababu ilitakiwa hili swala waliseme kabla. Na ukizingatia saizi tz sio nchi yenye amani tena. Watu wanapotea kila siku.

Kama yametushinda yatanzania tutayaweza ya gaza.
Twende sawa tudai wanapewa mabikra 72 kama mlivyofundishwa kanisani. Ipi inaingia akili binadamu kuvalishwa kichupi ili msamehewe dhambi na kumuabudu au bikra 72 ambazo hata mfalme Mswati anafanya kila mwaka na Suleiman alitenda kwa mujibu wa historia?
Kwanza mwanaume kamili asili yake anapenda wanawake labda awe shoga.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Tumeshuhudia baadhi ya nchi duniani zikitoa matamko au misimamo yao kufuatia kifo cha aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha Hamas Yahys Sinwar.

Kwa mfano Rais Joe Biden alitoa kauli ifuatayo:
"Hii ni siku nzuri kwa Israel, Marekani na Dunia nzima"

"This is a good day for Israel, for the United States, and for the world,”

Ndugu zangu naomba kujua msimamo, tamko ,mtazamo au kauli ya Serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye tukio hili kubwa duniani

Watanzania wengi naamini wangependa wajue Serikali yao imesimama upande upi wapi kwenye suala hili

Niwatakie usiku mwema

Msimamo wa serikali ya tanzania ni huu.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni muhimu, Jiandikishe kwenye Orodha ya Mpiga kura wa Serikali za Mitaa Tarehe 11 - 20/10/2024 ili uweze kushiriki Uchaguzi.
 
Back
Top Bottom