Mmh! mtakuwa mnalea kama yai, miezi 9 na mwaka sasa, bado anakula ziwa la mama.....
Kitaalamu mtoto uachishwa kunyonya kwanjia mbali but chua hizi
~Kumpatia chakula kwa series za kawaida (asb, mch na jion) kizuri na nyororo, Hataacha.
~Kumpatia maji, chai au uji pindi atakapo kunyonya
~Kumpakia pilipili ziwa la mama akitaka kunyonya, na hapo ataliogopa kabisa
~Mwisho ni kumnyima tu pindi atakapo, na kumlea kimaadili ya kitanzania sio kizungu
Namtakia maisha mapya yenye fanaka na heri mwanetu.
Ehuuuu!!! Nimecheka sana asante kwa ushauri mkuu
Sawa ila nahisi nimechoka kunyonyesha daah
Sawa ila nahisi nimechoka kunyonyesha daah