Ni ipi tofauti ya maneno haya?

Ni ipi tofauti ya maneno haya?

"Hakuna kiingilio"
"Kiingilio Ni bure"
Tofauti hapo Ni "Hakuna" na "Bure" ila kote Kuna kiingilio.
 
Utofauti upo kwenye maumbo ila kwenye maana hakuna utofauti maana ni sawa ila maumbo ni tofauti.

HAKUNA KINGILIO imeundwaa na Kikundi nomino (KN).

KINGILIO NI BURE imeundwa na Kikundi Nomino+Kikundi Tenzi (KT).

Mambo ya lugha hayo karibu kitivo cha isimu na lugha hapa Lumumba street tukuhudumie haaa haa.

Mambo ya lugha hayo mzee
 
Tofauti ipo sababu ushalipiwa na watu
 
Utofauti upo kwenye maumbo ila kwenye maana hakuna utofauti maana ni sawa ila maumbo ni tofauti...
KT ambapo ndan yake kuna (t) kitenzi kishirikishi ambacho ni t na pi kuna nomino ambayo ni bure
 
Utofauti upo kwenye maumbo ila kwenye maana hakuna utofauti maana ni sawa ila maumbo ni tofauti.

HAKUNA KINGILIO imeundwaa na Kikundi nomino (KN).

KINGILIO NI BURE imeundwa na Kikundi Nomino+Kikundi Tenzi (KT).

Mambo ya lugha hayo karibu kitivo cha isimu na lugha hapa Lumumba street tukuhudumie haaa haa.

Mambo ya lugha hayo mzee
Mkuu Taifa linakutegemea hasa wasanii wetu wa Bongo fuleva [emoji28][emoji28]
 
Kiingilio ni bure maana yake, ili uweze kuingia sehemu husika uwe na kitu kinachoitwa bure mkononi utakipataje utajua wewe.
 
Utofauti upo kwenye maumbo ila kwenye maana hakuna utofauti maana ni sawa ila maumbo ni tofauti.

HAKUNA KINGILIO imeundwaa na Kikundi nomino (KN).

KINGILIO NI BURE imeundwa na Kikundi Nomino+Kikundi Tenzi (KT).

Mambo ya lugha hayo karibu kitivo cha isimu na lugha hapa Lumumba street tukuhudumie haaa haa.

Mambo ya lugha hayo mzee
Nimecheka kwa sauti
 
Back
Top Bottom