Ni ipi tofauti ya visimbusi vya Dstv na Gotv?

Ni ipi tofauti ya visimbusi vya Dstv na Gotv?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Nimeona kama Gotv ina ufanano sana na Dstv, je ni ipi tofauti ya visimbuzi hivi viwili? Naona sana Gotv ipo kenya, uganda, Nigeria nk

Swali la nyongeza, mbona Gotv haipo Tanzania?
 
Ni sawa na StarTimes ya Dish na Star Times ya Antenna zote hizo zinamilikiwa na kampuni moja, Tofauti ni jina tu na baadhi ya channels kutokuonekana kwenye kimoja wapo kati ya hivyo. Multichoice wameamua Gotv iwe bei chee kwenye vifurushi kulinganisha na Dstv sema tu kuna channels hutaziona ambazo zipo dstv, ila tegemea kuona locals kama zote.
 
Back
Top Bottom