Ni jambo gani Amos Makala amewahi kubuni, kutekeleza na likafanikiwa?

Ni jambo gani Amos Makala amewahi kubuni, kutekeleza na likafanikiwa?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimemsikiliza mara kadhaa mzee Makala akiwa ndani ya CCM, utumishi wa umma na sasa ndani ya CCM tena. Kuna watu wana bahati ya kupewa madaraka lakini siyo bahati ya kufanikisha malengo ya uteuzi.

Kutokana na kukosekana kwa taarifa za jambo lolote aliloanzisha Makala likafanikiwa nimesijikia kuleta uzi huu hapa ili kama kuna mtu anafahamu chochote alichofanya Makala aweze kutushirikisha tusiwe tunahukumu.

Ningependa zaidi kusikia kutoka CCM. Lengo langu ni kutaka vyama vya siasa viige utaratibu wa Ulimwengu wa kwanza, mtu anapoteuliwa mjadala wa kwanza uelekezwa kwenye maeneo aliyefanikiwa na aliyefeli....kwetu mtu anafanya kazi 30 years bila kuwepo kwa chochote kwa public ambaye ni mwajiri kinachomshuhudia kwamba alifanya mabadiliko au alibuni.

Makala namwona akiondoka kwenye kiti alichokaliwa siyo kwa kuchukiwa na waliomteua bali kwa sababu hata waliomteua wanashindwa kuelewa anaeneza nini. Majibu yake kwenye mahojiano ya last week yanaonyesha ni vigumu kudumu hasa chadema wakirejea kutoka kwenye vikao vya siri huko Dar
 
ccm ili upate cheo unatakiwa na tabia 2,matusi na uongeaji.

sio lazima uongee point
 
"Hitilafu za umeme upelekea masoko kuungua moto"
 
Nimemsikiliza mara kadhaa mzee Makala akiwa ndani ya CCM, utumishi wa umma na sasa ndani ya CCM tena. Kuna watu wana bahati ya kupewa madaraka lakini siyo bahati ya kufanikisha malengo ya uteuzi.

Kutokana na kukosekana kwa taarifa za jambo lolote aliloanzisha Makala likafanikiwa nimesijikia kuleta uzi huu hapa ili kama kuna mtu anafahamu chochote alichofanya Makala aweze kutushirikisha tusiwe tunahukumu.

Ningependa zaidi kusikia kutoka CCM. Lengo langu ni kutaka vyama vya siasa viige utaratibu wa Ulimwengu wa kwanza, mtu anapoteuliwa mjadala wa kwanza uelekezwa kwenye maeneo aliyefanikiwa na aliyefeli....kwetu mtu anafanya kazi 30 years bila kuwepo kwa chochote kwa public ambaye ni mwajiri kinachomshuhudia kwamba alifanya mabadiliko au alibuni.

Makala namwona akiondoka kwenye kiti alichokaliwa siyo kwa kuchukiwa na waliomteua bali kwa sababu hata waliomteua wanashindwa kuelewa anaeneza nini. Majibu yake kwenye mahojiano ya last week yanaonyesha ni vigumu kudumu hasa chadema wakirejea kutoka kwenye vikao vya siri huko Dar
uadilifu, uaminifu wake na weledi katika pesa na mali za umma ni wa kupigiwa mafano na mzalendo yeyote na uameacha alama ya kipekee sana pale ccm Taifa :KasugaYeah:

kuna viongozi wengine katika vyama vingine vya siasa cha kujifunza kutoka kwao ni mihemko, matusi na labda kua kibaraka wa mabwenyenye tu:NoGodNo:
 
Nimemsikiliza mara kadhaa mzee Makala akiwa ndani ya CCM, utumishi wa umma na sasa ndani ya CCM tena. Kuna watu wana bahati ya kupewa madaraka lakini siyo bahati ya kufanikisha malengo ya uteuzi.

Kutokana na kukosekana kwa taarifa za jambo lolote aliloanzisha Makala likafanikiwa nimesijikia kuleta uzi huu hapa ili kama kuna mtu anafahamu chochote alichofanya Makala aweze kutushirikisha tusiwe tunahukumu.

Ningependa zaidi kusikia kutoka CCM. Lengo langu ni kutaka vyama vya siasa viige utaratibu wa Ulimwengu wa kwanza, mtu anapoteuliwa mjadala wa kwanza uelekezwa kwenye maeneo aliyefanikiwa na aliyefeli....kwetu mtu anafanya kazi 30 years bila kuwepo kwa chochote kwa public ambaye ni mwajiri kinachomshuhudia kwamba alifanya mabadiliko au alibuni.

Makala namwona akiondoka kwenye kiti alichokaliwa siyo kwa kuchukiwa na waliomteua bali kwa sababu hata waliomteua wanashindwa kuelewa anaeneza nini. Majibu yake kwenye mahojiano ya last week yanaonyesha ni vigumu kudumu hasa chadema wakirejea kutoka kwenye vikao vya siri huko Dar
Kwani kazi ya katibu mwenezi ni nini? Naomba tusipotoshe hapa kwa ajili ya kujustify ule upuuzi wa Zerobrain Makonda.

Katibu mwenezi hapaswi kubuni kwa kuwa kazi yake ni kufikisha kwenye public au wanchama maazimimio na maamuzi ya Chama kupitia vyombo vya habari.

Haya mengine ya kupanda mikokoteni, kupanda punda pelekeni Kolomije. Hiki siyo chama cha washamba
 
Alifanikiwa kupunguza umati wa CHADEMA Viwanja vya Furahisha Kwa kumleta Mondi kirumba kufanya show ya Bure.

Hayo ni mafanikio makubwa kwake.
 
Kuhusu Kupigania ujenzi wa jengo la Mwanza airport alijitahidi
 
Kwani kazi ya katibu mwenezi ni nini? Naomba tusipotoshe hapa kwa ajili ya kujustify ule upuuzi wa Zerobrain Makonda.

Katibu mwenezi hapaswi kubuni kwa kuwa kazi yake ni kufikisha kwenye public au wanchama maazimimio na maamuzi ya Chama kupitia vyombo vya habari.

Haya mengine ya kupanda mikokoteni, kupanda punda pelekeni Kolomije. Hiki siyo chama cha washamba
Kama hiyo ndio kazi ya karibu mwenezi basi hiyo ndio kazi rahisi zaidi kupata kutokea duniani.
Hubuni chochote unaandika taarifa unaenda kuisoma.
Nilidhani labda ni kuhakikisha chama kinaenezwa na kubuni namna Bora ya kupata wanachama zaidi.
 
uadilifu, uaminifu wake na weledi katika pesa na mali za umma ni wa kupigiwa mafano na mzalendo yeyote na uameacha alama ya kipekee sana pale ccm Taifa :KasugaYeah:

kuna viongozi wengine katika vyama vingine vya siasa cha kujifunza kutoka kwao ni mihemko, matusi na labda kua kibaraka wa mabwenyenye tu:NoGodNo:
Mali za chama ambazo wanachama waligawana na kipindi cha JPM ikaundwa kamati kufuatilia ziligawanwa wakati gani?Je ni Nani akiwa mtunza hazina wa CCM iliweza kujitegemea au ndio hata mikutano ilifanyika kwenye magodown ya Chimwaga tena kwa ufafhili wa matajiri.
Labda utusaidie kutupa aliyofanya Kaka yetu ili tujielimishe maana wengine huenda sio wazee Sana hatujui mengi.
 
Mali za chama ambazo wanachama waligawana na kipindi cha JPM ikaundwa kamati kufuatilia ziligawanwa wakati gani?Je ni Nani akiwa mtunza hazina wa CCM iliweza kujitegemea au ndio hata mikutano ilifanyika kwenye magodown ya Chimwaga tena kwa ufafhili wa matajiri.
Labda utusaidie kutupa aliyofanya Kaka yetu ili tujielimishe maana wengine huenda sio wazee Sana hatujui mengi.

kwahivyo ulipigiwa porojo na mastori ya town ukajaa mzimamzima kichwa kichwa🤣

JPM na makala wap na wap sasa 🐒
 
Back
Top Bottom