Jchris14
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 801
- 2,057
Wasalamu wakuu!
Niwape hongera na pole kwa hustling za kila siku za kuhakikisha wewe binafsi na watu wako wa karibu wanafurahia juhudi zako.
Nimeleta andiko hili najua si mara ya kwanza yaweza kuwa lilishaandikwa kwa namna nyingi na wadau humu jukwani.
Hali ya kimaisha inazidi kuwa ngumu siku hadi siku, najua kwa namna moja ama nyingine kila mtu ana mbinu ama story ambayo ilimpa nguvu na hali kubwa ya kupambana hadi alipofikia kujiweka katika nafasi nzuri ya kujihakikishia ameupunguza ugumu wa maisha kwa kiasi kikubwa.
Hali hii ya ugumu wa maisha imewafanya watu wengi waone hata suala la kuoa na kuwa na familia ni anasa.
Sasa enyi ma-malejendi na wakongwe tupeni mbinu ama story zilizowafanya muupunguze huu ugumu. Jambo au story yako inaweza kuwa silaha kubwa ya kumtoa mtu mwingine sehemu moja kwenda nyingine.
Asanteni sana na karibuni 🫶
Niwape hongera na pole kwa hustling za kila siku za kuhakikisha wewe binafsi na watu wako wa karibu wanafurahia juhudi zako.
Nimeleta andiko hili najua si mara ya kwanza yaweza kuwa lilishaandikwa kwa namna nyingi na wadau humu jukwani.
Hali ya kimaisha inazidi kuwa ngumu siku hadi siku, najua kwa namna moja ama nyingine kila mtu ana mbinu ama story ambayo ilimpa nguvu na hali kubwa ya kupambana hadi alipofikia kujiweka katika nafasi nzuri ya kujihakikishia ameupunguza ugumu wa maisha kwa kiasi kikubwa.
Hali hii ya ugumu wa maisha imewafanya watu wengi waone hata suala la kuoa na kuwa na familia ni anasa.
Sasa enyi ma-malejendi na wakongwe tupeni mbinu ama story zilizowafanya muupunguze huu ugumu. Jambo au story yako inaweza kuwa silaha kubwa ya kumtoa mtu mwingine sehemu moja kwenda nyingine.
Asanteni sana na karibuni 🫶