Ni jambo gani linakukera kwenye Redio za Tanzania?

jibaba na ndevu zake INASEMA LEVELS BABY hii duniani ipo hapa BONGO TU!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Tatizo watu wanaochukuliwa kwenda kutangaza wanakuwa hata hiyo taaluma ya utangazaji hawana , wanaokotwa okotwa tu ndiyo maana tunasikiliza vioja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…