Zumbe Kimweru
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 340
- 27
Sio siri wakuu kwa sasa kuona viongozi wakubwa serikalini na hata wasomi wakitoa lugha hii hata kwa vitu visivyo na ulazima utasikia "NI JAMBO JEMA". kwakweli ni lugha ama sentesi inayouzi kuzingatia kuwa hutolewa kipindi ambacho watu huhitaji maelezo ya kiongozi. Kwa mfano unatajwa uraisi ni Jambo jema ukawa wakirudi " Ni jambo jema" Mzee wetu Pinda amekuwa muasisi japo wapo kina dr Bana na vigogo.Yaani mtu hawezi kuzungumza hata maneno matano bila kusema "NI JAMBO JEMA' Duuu ni kweli ni jambo jema!!!! Inaudhi sana kama hunielewi basi NI JAMBO JEMA"