Ni jambo ka kushukuru Mungu ndege zilizonunuliwa kipindi cha Hayati Magufuli hazijawahi kupata ajali

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Haters wa utawala wa hayati Nagufuli wakiongozwa na mimi hatuamini kuwa mpaka leo zile bombadier hakuna iliyopata ajali.

Manunuzi yake yakionekana kujaa mihemko,tulitarajia misiba ila Mungu ni mwema
 
Kwani zilinunuliwa mbovu? Au marubani walikuwa learners?
 
Kwanini sasa uliwaza hivyo?? Kwani hakuna mainjinia wa kujua ndege hizo hapa TZ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…