Hahaaaa mkuu wee usiwe Tomasohahahahaaa siamini mpka nimuone kwa suraaaa
Wakoma AllianceMloko tech moja hiyo mitaa ya baruti kata ya bweri
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna mmoja alikua anaitwa Emmanuella OnosakponomeHuyu mashine za NIDA hazimtemi kweli?
Mbongo naye au Muitaliano?[emoji23][emoji23][emoji23] kuna mmoja alikua anaitwa Emmanuella Onosakponome
Ndo majina ya wabena ayoAtuganile mwakajumba