Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

Peter Abaibey [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tulikua tunamuita "Aaaah Babyyy" alikua hapendi ila ndo hivo tena!
 
kuna mwingine anaitwa CHEZAM PILLA... siku moja ticha mgeni akamuuliza jina lako nani!? ulikuwa ugomvi ticha akajua jamaa anamkejeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…