Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

Mbunye Imkome nilisoma nae primary aisee.

ebunipite peter mbongera-classment olevel 2005- mwakavuta iringa huko,

mawazo kufasimwiko-dom sec 2003

Mkarukwa mkagongwa HUYU NILISOMA NAYE SHULE YA MSINGI.

Sikitu hasara form six 2008 ifakara girls



simparaganyike simwalumwalu
jamaa (vimevurugika) babake (viko hovyohovyo)

AJUA MUNGU NG'OMBE NI WANGU nilisoma nae middle school!!!

Ngoja nimalize kucheka kwanza. Dah!
Ni kweli au mengine yametungwa?
 
saa nane kazi basi. huyu alikuwa ni classmate wangu miaka ya 90 pale tabora boys
 
Ulimbakisya Kakolanya Nkenja nilisoma nae mtejeta pr school. Mpwapwa
 
Tabu Masikini (Kazima Secondary School Tabora 1983-1986)
 
Kazibure faulisha (ikukwa p/school) 1990/96
 

Huko Bukoba hili jina la Bartholomew huwa wanarahisisha eti, 'Balitolomayo'
 
Kibendera Fugoyamahongo, nilisoma naye Butimba TTC. Alikuwa anafeli sana na sina uhakika kama alishapata diploma
 
ndugu togoro manyori, bwiting'o nyamuhanga, nyaunga sabahi, wote hawa walikua ilboru sex. school miaka flani ya around 2004 / 05,.
 
limi ntegwa,shule ya msingi ibadakuli shinyanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…