Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

Funga Maji mwang'amba, 2005 njoss
Riziki ya mungu Evans, nilifundisha naye sehemu Njombe
 
Mkatamavinda sisi tulikuwa tunafupisha Mkatamavi, alikuwa anamind balaa.
 
Wakuvuja st pio kibaigwa dodoma huyu jamaa ilikuwa hata umlishe mawe after 10 min atalia njaa tu


Wakamwita wakuvuja
 
Back
Top Bottom