Ni jina gani maarufu zaidi kwa makabila ya wasukuma na wahaya ?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Muhimu naomba jina liwe fupi, lisizidi herufi nane (8)

kuna simulizi naiandika nimekwama kwenye majina ya koo maarufu za wasukuma na wahaya, nimekutana na majina mengi sana, natafuta jina za koo maarufu hata watu wa mbali wakisikia tu wanajua asili yake.

Mfano mtu akiikia Laizer anajua ni masai, Mushi ni mchaga, Mapunda ni mngoni, Mkwawa ni mhehe, Sanga ni mkinga, Mwakyusa ni mnyakyusa, Mwita ni mkurya, n.k,
 
wasukuma na wahaya mnisaidie

Majina ya Musukuma na Nshomile ni ya asili ama yametungwa sikuhizi ?
 
Mtego huo wa pale makumbusho
 
Wasukuma:- Shigaka, Luhuye, Ncheye, Mabula, Mayala, Sitta, Masanja, Ndaki, Kahene, Masambu, Masalu n.k
Wahaya:- Rugemalila, Rutashobya, Muganyizi, Katunzi, Bwajauka, Buberwa, Rumanyika, Kaijege, Tibaigana, Tibaijuka, Rweyemamu, Rwekiza n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…