ProMagufuli
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 253
- 270
Habari za weekend wakuu.
Swali langu ni kama heading isemavyo.
Na Mimi natamani nipate ajira niachane na huu ujobless, maisha magumu umri unaenda, wachumba hawanitaki kisa dough.
mfano wa maswali.
1. What do you understand by the term security as applied in Information Technology (IT)?
2. What are the methods will you use to know if your students have understood the content you have taught.? Five points
Naomba msaada. Ina maana itapaswa nijieleze mfano wa essay ama inakuaje? Wale mliofanikiwa kupata placement ilikuwaje. Naombeni uzoefu wenu. Nilipoenda mara ya Kwanza nilikula za uso mpaka kwa sasa naogopa.
Karibuni kwa michango. Muwe na weekend njema.
Swali langu ni kama heading isemavyo.
Na Mimi natamani nipate ajira niachane na huu ujobless, maisha magumu umri unaenda, wachumba hawanitaki kisa dough.
mfano wa maswali.
1. What do you understand by the term security as applied in Information Technology (IT)?
2. What are the methods will you use to know if your students have understood the content you have taught.? Five points
Naomba msaada. Ina maana itapaswa nijieleze mfano wa essay ama inakuaje? Wale mliofanikiwa kupata placement ilikuwaje. Naombeni uzoefu wenu. Nilipoenda mara ya Kwanza nilikula za uso mpaka kwa sasa naogopa.
Karibuni kwa michango. Muwe na weekend njema.