Ni jukumu la mzazi hasa Baba kumtafutia Kijana wake Connections za Kazi

Ni jukumu la mzazi hasa Baba kumtafutia Kijana wake Connections za Kazi

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Hamjambo wote!

Majukumu ya Baba yapo bayana. Ushaambiwa Ubaba ni cheo cha juu zaidi Duniani.
Na hakijawa cheo cha juu burebure, hivihivi au kirahisi. Ni kwa sababu ya majukumu makubwa aliyopewa Mwanaume ndiye Baba.

MAJUKUMU YA MSINGI YA MWANAUME AU BABA.

1. Kutafuta Fursa na kujijenga kimaisha.
2. Kutiisha Mazingira yake.

3. Kuunda Connections zenye Tija kwake na kwa kizazi chake.
4. Kuandaa Mifumo ya uzalishaji kwa kizazi chake.
5. Kuandaa Urithi WA watoto wake na kizazi chake.
Sio useme Urithi WA mtoto ni Elimu.
Elimu haijawahi kuwa Urithi mahali popote pale.
Na haupo kwenye Sheria za mirathi.

6. Kuwatafutia watoto Kazi za kufanya na connections za uhakika.

Huyo ndiye Baba na mwanaume.

Majukumu hayo ndio humfanya mwanaume yoyote Makini kutokuwa na Muda WA kufikiri mambo ya kijingajinga au kupoteza Muda kwa mambo yasiyo na Tija.

Baba au mwanaume anayejielewa huwezi msikia akiwambia watoto wake wakatafute Kazi za kufanya.
Ila yeye mwenyewe kama Baba anakuwa ameshaandaa mfumo wa vijana kuwa na Kazi au Kupata Kazi.
Labda mtoto mwenyewe aamue kufanya Kazi zingine Nje ya mfumo wa Baba yake.

Ndio maana familia zote kubwa za Watawala, wafalme, wafanyabiashara Wakubwa, matajiri na watu wote wenye kujua Kanuni hiyo mara zote wazazi hasa Baba huhangaika Kufa kupona kuwaweka watoto wao katika nafasi nzuri za kiuchumi.

Kumpa mtoto Elimu haimsaidii chochote kama hukumpa connections na mfumo wa Kazi.

Wanasiasa wote Duniani hujua Jambo hili tangu Duniani kuumbwa.
Wafanyabiashara na matajiri wote huwezi sikia wakiambiwa watoto wao wakatafute Kazi au wawaache watoto wao wajitafutie malisho kama mayatima wasio na Baba.

Baba husema, mwanangu David umeshakua Mkubwa sasa, chukua Ng'ombe hawa watano, eneo la malisho lipo pale.
Mwanangu Kipeto, kuna shamba heka tano lile la Kule Turiani. Tangu mdogo umekuwa na Mkono wa Kulima. Nenda kalime Mwanangu.

Mwanangu Kibadeni, umesoma Udaktari, utaenda katika hospital ya Plus Tune. Fulani atakupokea. Sasa uende ukanitie aibu huko.

Dunia ilianza na connections na itaisha kwa connections.
Hapa Kati wanadamu walitaka kujidanganya kwa kujaribu kujifunza mambo yasiyo ya Asili.

Hii itupe changamoto kama vijana wa Leo tujue yakuwa Sisi kama Wanaume na Wababa wachanga tunaowajibu wa kupambana Sana. Sana tena Sana kwaajili ya Kesho yetu na kizazi chetu.

Usije ukapotoshwa.
Mzazi ndiye mwenye jukumu la kumuwekea mtoto wake mifumo ya kuishi.na sio vinginevyo.

Mzazi wako akishindwa unaasilimia 80% ya kushindwa katika Maisha.
Wewe ukishindwa maisha kuna asilimia 80 ya watoto wako nao kushindwa.

Sio serikali Wala mtu yeyote mwenye jukumu la kukufanikisha.
Mwenye jukumu Hilo alikuwa Baba yako, na kama ameshindwa Basi jukumu Hilo limebaki juu yako MWENYEWE.

Mama unajukumu la kuhakikisha Baba anasaidia watoto kufika Kule anakotaka.

Wanawake bahati nzuri wanaijua hii natural.
Ndio maana ukishaoa hata kama ndio mpo mwaka wa Kwanza na bado vijana utakuta Mkeo anakushinikiza tujenge mapema kwaajili ya watoto wetu.
Tuanzishe miradi kwaajili ya watoto wetu

Ni jukumu letu kama wanaume au Wababa kutengeneza channel kwa watoto wetu. Huo ndio Ubaba wenyewe.

Taikon Master
Kwa sasa Dar es
 
Hamjambo wote!

Majukumu ya Baba yapo bayana. Ushaambiwa Ubaba ni cheo cha juu zaidi Duniani.
Na hakijawa cheo cha juu burebure, hivihivi au kirahisi. Ni kwa sababu ya majukumu makubwa aliyopewa Mwanaume ndiye Baba.

MAJUKUMU YA MSINGI YA MWANAUME AU BABA.

1. Kutafuta Fursa na kujijenga kimaisha.
2. Kutiisha Mazingira yake.

3. Kuunda Connections zenye Tija kwake na kwa kizazi chake.
4. Kuandaa Mifumo ya uzalishaji kwa kizazi chake.
5. Kuandaa Urithi WA watoto wake na kizazi chake.
Sio useme Urithi WA mtoto ni Elimu.
Elimu haijawahi kuwa Urithi mahali popote pale.
Na haupo kwenye Sheria za mirathi.

6. Kuwatafutia watoto Kazi za kufanya na connections za uhakika.

Huyo ndiye Baba na mwanaume.

Majukumu hayo ndio humfanya mwanaume yoyote Makini kutokuwa na Muda WA kufikiri mambo ya kijingajinga au kupoteza Muda kwa mambo yasiyo na Tija.

Baba au mwanaume anayejielewa huwezi msikia akiwambia watoto wake wakatafute Kazi za kufanya.
Ila yeye mwenyewe kama Baba anakuwa ameshaandaa mfumo wa vijana kuwa na Kazi au Kupata Kazi.
Labda mtoto mwenyewe aamue kufanya Kazi zingine Nje ya mfumo wa Baba yake.

Ndio maana familia zote kubwa za Watawala, wafalme, wafanyabiashara Wakubwa, matajiri na watu wote wenye kujua Kanuni hiyo mara zote wazazi hasa Baba huhangaika Kufa kupona kuwaweka watoto wao katika nafasi nzuri za kiuchumi.

Kumpa mtoto Elimu haimsaidii chochote kama hukumpa connections na mfumo wa Kazi.

Wanasiasa wote Duniani hujua Jambo hili tangu Duniani kuumbwa.
Wafanyabiashara na matajiri wote huwezi sikia wakiambiwa watoto wao wakatafute Kazi au wawaache watoto wao wajitafutie malisho kama mayatima wasio na Baba.

Baba husema, mwanangu David umeshakua Mkubwa sasa, chukua Ng'ombe hawa watano, eneo la malisho lipo pale.
Mwanangu Kipeto, kuna shamba heka tano lile la Kule Turiani. Tangu mdogo umekuwa na Mkono wa Kulima. Nenda kalime Mwanangu.

Mwanangu Kibadeni, umesoma Udaktari, utaenda katika hospital ya Plus Tune. Fulani atakupokea. Sasa uende ukanitie aibu huko.

Dunia ilianza na connections na itaisha kwa connections.
Hapa Kati wanadamu walitaka kujidanganya kwa kujaribu kujifunza mambo yasiyo ya Asili.

Hii itupe changamoto kama vijana wa Leo tujue yakuwa Sisi kama Wanaume na Wababa wachanga tunaowajibu wa kupambana Sana. Sana tena Sana kwaajili ya Kesho yetu na kizazi chetu.

Usije ukapotoshwa.
Mzazi ndiye mwenye jukumu la kumuwekea mtoto wake mifumo ya kuishi.na sio vinginevyo.

Mzazi wako akishindwa unaasilimia 80% ya kushindwa katika Maisha.
Wewe ukishindwa maisha kuna asilimia 80 ya watoto wako nao kushindwa.

Sio serikali Wala mtu yeyote mwenye jukumu la kukufanikisha.
Mwenye jukumu Hilo alikuwa Baba yako, na kama ameshindwa Basi jukumu Hilo limebaki juu yako MWENYEWE.

Mama unajukumu la kuhakikisha Baba anasaidia watoto kufika Kule anakotaka.

Wanawake bahati nzuri wanaijua hii natural.
Ndio maana ukishaoa hata kama ndio mpo mwaka wa Kwanza na bado vijana utakuta Mkeo anakushinikiza tujenge mapema kwaajili ya watoto wetu.
Tuanzishe miradi kwaajili ya watoto wetu

Ni jukumu letu kama wanaume au Wababa kutengeneza channel kwa watoto wetu. Huo ndio Ubaba wenyewe.

Taikon Master
Kwa sasa Dar es
What a waste
 
Ukweli mtupu. Nakumbuka mwaka 2009 nikiwa mwanachuo nilikaa mtaani muda mrefu natafuta sehemu ya kufanya field nilichelewa kama mwezi mmoja. Siku moja katika kumsalimia mzee nikamjulisha mwanao niko town hapa mambo ya field yanazingua.. akaniuliza ngoja nimcheki rafiki yangu fulani nitakurudia. Kama utani mzee ananiambia nitakutumia namba ya rafiki yangu yuko Wizara ya Fedha mpange. Kuja kumpigia yule best wake kumbe ni kigogo mzito mno wizarani. Akaniuliza nataka nianze lini nikamjibu j3 kwa sababu ilikuwa ijumaa hiyo siku. Siku naenda pale wizarani nakumbuka alinishika mkono tukaingia ofisi ya afisa mhusika na pale kwenye bench kulikuwa na RC wa Mbeya enzi hizo anasubiria kuingia. Niliinjoi mno field attachment.

Kikubwa nilichojifunza pia tusiwachukulie poa baba zetu kwa sababu mara nyingi sio waongeaji yaani mikausho mingi. Wana mambo mengi sana.
 
Upo sahihi sana

Tatizo la Ajira linaletwa na Wazazi wahuni. Hasa ma baba wazembe

Hujamrithisha mtoto Mali wala kumpa mtaji, wala kumpa connection ya kazi sasa ataachaje kukosa Ajira?
 
Hamjambo wote!

Majukumu ya Baba yapo bayana. Ushaambiwa Ubaba ni cheo cha juu zaidi Duniani.
Na hakijawa cheo cha juu burebure, hivihivi au kirahisi. Ni kwa sababu ya majukumu makubwa aliyopewa Mwanaume ndiye Baba.

MAJUKUMU YA MSINGI YA MWANAUME AU BABA.

1. Kutafuta Fursa na kujijenga kimaisha.
2. Kutiisha Mazingira yake.

3. Kuunda Connections zenye Tija kwake na kwa kizazi chake.
4. Kuandaa Mifumo ya uzalishaji kwa kizazi chake.
5. Kuandaa Urithi WA watoto wake na kizazi chake.
Sio useme Urithi WA mtoto ni Elimu.
Elimu haijawahi kuwa Urithi mahali popote pale.
Na haupo kwenye Sheria za mirathi.

6. Kuwatafutia watoto Kazi za kufanya na connections za uhakika.

Huyo ndiye Baba na mwanaume.

Majukumu hayo ndio humfanya mwanaume yoyote Makini kutokuwa na Muda WA kufikiri mambo ya kijingajinga au kupoteza Muda kwa mambo yasiyo na Tija.

Baba au mwanaume anayejielewa huwezi msikia akiwambia watoto wake wakatafute Kazi za kufanya.
Ila yeye mwenyewe kama Baba anakuwa ameshaandaa mfumo wa vijana kuwa na Kazi au Kupata Kazi.
Labda mtoto mwenyewe aamue kufanya Kazi zingine Nje ya mfumo wa Baba yake.

Ndio maana familia zote kubwa za Watawala, wafalme, wafanyabiashara Wakubwa, matajiri na watu wote wenye kujua Kanuni hiyo mara zote wazazi hasa Baba huhangaika Kufa kupona kuwaweka watoto wao katika nafasi nzuri za kiuchumi.

Kumpa mtoto Elimu haimsaidii chochote kama hukumpa connections na mfumo wa Kazi.

Wanasiasa wote Duniani hujua Jambo hili tangu Duniani kuumbwa.
Wafanyabiashara na matajiri wote huwezi sikia wakiambiwa watoto wao wakatafute Kazi au wawaache watoto wao wajitafutie malisho kama mayatima wasio na Baba.

Baba husema, mwanangu David umeshakua Mkubwa sasa, chukua Ng'ombe hawa watano, eneo la malisho lipo pale.
Mwanangu Kipeto, kuna shamba heka tano lile la Kule Turiani. Tangu mdogo umekuwa na Mkono wa Kulima. Nenda kalime Mwanangu.

Mwanangu Kibadeni, umesoma Udaktari, utaenda katika hospital ya Plus Tune. Fulani atakupokea. Sasa uende ukanitie aibu huko.

Dunia ilianza na connections na itaisha kwa connections.
Hapa Kati wanadamu walitaka kujidanganya kwa kujaribu kujifunza mambo yasiyo ya Asili.

Hii itupe changamoto kama vijana wa Leo tujue yakuwa Sisi kama Wanaume na Wababa wachanga tunaowajibu wa kupambana Sana. Sana tena Sana kwaajili ya Kesho yetu na kizazi chetu.

Usije ukapotoshwa.
Mzazi ndiye mwenye jukumu la kumuwekea mtoto wake mifumo ya kuishi.na sio vinginevyo.

Mzazi wako akishindwa unaasilimia 80% ya kushindwa katika Maisha.
Wewe ukishindwa maisha kuna asilimia 80 ya watoto wako nao kushindwa.

Sio serikali Wala mtu yeyote mwenye jukumu la kukufanikisha.
Mwenye jukumu Hilo alikuwa Baba yako, na kama ameshindwa Basi jukumu Hilo limebaki juu yako MWENYEWE.

Mama unajukumu la kuhakikisha Baba anasaidia watoto kufika Kule anakotaka.

Wanawake bahati nzuri wanaijua hii natural.
Ndio maana ukishaoa hata kama ndio mpo mwaka wa Kwanza na bado vijana utakuta Mkeo anakushinikiza tujenge mapema kwaajili ya watoto wetu.
Tuanzishe miradi kwaajili ya watoto wetu

Ni jukumu letu kama wanaume au Wababa kutengeneza channel kwa watoto wetu. Huo ndio Ubaba wenyewe.

Taikon Master
Kwa sasa Dar es
Wewe msabato leo umetema madini.
 
Back
Top Bottom