Ni jukumu la mzazi hasa Baba kumtafutia Kijana wake Connections za Kazi



Iko hivyo.

Wanasiasa ndio watawadanganya watu wenye Akili finyu kuwa Urithi WA mtoto ni Elimu na kuwaambia watoto wa wenzao wajiajiri huko huku wao watoto wao wakiwapa Ajira Nono
 
Hii ni sahihi asilimia kubwa..kilio kikubwa cha ajira Kwa vijana kinatokana na wazazi kupuuzia ukweli huu na kukumbatia ilimu pekee kama ndio urithi.

Vigogo huwezi sikia wakiwaambia watoto wao vitu vya namna hii.
Wao wanachozingatia ni kudhibiti Njia za Pesa
 
kukumbatia ilimu pekee
Ilimu = imani ya Quran tukufu Msikiti Madrasa madufu umbwabwa kaswida Imamu Shekhe Mufti Hustadhi

Elimu = Dunia Mwalimu Mwanafunzi Kiongozi Doktari Nesi Mwanasiasa nk
 
Mtoto anajifunza kwa kukuona wewe sio Maneno matupu.
Ukiweza kumtafutia maisha mwanao kwake ni Somo tosha.

Vinginevyo utaitwa Baba motivation speaker
Again uko very shallow

Sio kuona tu, kusikia, kuthubutu, kushiriki na kuelewa

Uko hovyo blo

Sema ji debe tupu Kwahiyo haliachi kutika

It is unfortunate wenye kamudomo ndio wanaopewa masikio but kaubongo lako finyu kuliko chembe ya haradali
 
Again uko very shallow

Sio kuona tu, kusikia, kuthubutu, kushiriki na kuelewa

Uko hovyo blo

Sema ji debe tupu Kwahiyo haliachi kutika

It is unfortunate wenye kamudomo ndio wanaopewa masikio but kaubongo lako finyu kuliko chembe ya haradali

Ungetoa hoja watu wangekuona wa maana lakini maelezo matupu kwa kweli ni dalili ya mtu mwenye kuwashwa washwa
 
Kila mtu afe kivyake.
 
Kuna watu flani jamii ya Kihindi na Waarabu tulipiga nao O-Level.
Katika haraki za ujenzi nikakutana nao kweny Hardware pale MoroπŸ˜€πŸ™‚πŸ™‚wahuni wale ni madoni mbaya...waliishia O-Level wakaenddlea na Biashara za familia...nashukuru nilipata discount maana tulikuwa marafiki sana.

Shida tayari kuna gapπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…