Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
Kwanza hakikisha unampunguzia majukumu maana hutafuti mtumwa, nunua baadhi ya mashine mf. Mashine ya kufulia, zipo za laki 6 nzuri sana, mashine ya kudekia zipo za laki 4 nanusu nzuri sana. Ukiweza unaweza tafuta na yakuoshea vyombo ila hii si lazima.
Pili tafuta mdada ambaye hata wewe ukimwangalia unasema Yes, huyu niyeye, awe soft, mwenye positive altitude, big smile e.t.c
Pia msaidie kutoka ulipo mkuta, baada ya kukaa naye mwaka 1 mzawadie hata kiwanja cha laki 5 tu kilichopo nje kabisa ya mji yaani ahisi anaishi na binadamu.
Mwisho USIM-BAKE.
Pili tafuta mdada ambaye hata wewe ukimwangalia unasema Yes, huyu niyeye, awe soft, mwenye positive altitude, big smile e.t.c
Pia msaidie kutoka ulipo mkuta, baada ya kukaa naye mwaka 1 mzawadie hata kiwanja cha laki 5 tu kilichopo nje kabisa ya mji yaani ahisi anaishi na binadamu.
Mwisho USIM-BAKE.