Ni kama alikuwa anasema 'natamani enzi zangu zirudi'

Ni kama alikuwa anasema 'natamani enzi zangu zirudi'

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Screenshot_20240123-125708.jpg
 
For real hata ungekuwa wewe ungesikitika sana, sipati picha alijisikia vibaya kiasi gani kufungwa vile nyumbani, mbele ya utitiri wa mashabiki

Na kinachoumiza zaidi, Ivory coast walikosa magoli mengi sana tena ya wazi kabisa either kutokana na uzembe au ubinafsi

Kwa mshambuliaji mwenye caliber ya Drogba, mechi ya jana kwa zile enzi zake sasa hivi tungekuwa tunaongea habari za ushindi wa 10 - 4 na sio vinginevyo
 
Back
Top Bottom