Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Mchezo wa mpira unadanganya sana. Unaweza fikiri mtu ni mzee kumbe umemzidi umri.Hazeeki...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezo wa mpira unadanganya sana. Unaweza fikiri mtu ni mzee kumbe umemzidi umri.Hazeeki...
Kuna kubeba zege, kuchimba shimo, kazi za ujenzi, uvuvi etc ni mazoezi tosha.Kabisaa yani tizi tosha
HahahshMchezo wa mpira unadanganya sana. Unaweza fikiri mtu ni mzee kumbe umemzidi umri.
Swadakta mwana lunyasi...Kuna kubeba zege, kuchimba shimo, kazi za ujenzi, uvuvi etc ni mazoezi tosha.
Hizi siyo mazoezi, ila zinazeesha mwili.Kuna kubeba zege, kuchimba shimo, kazi za ujenzi, uvuvi etc ni mazoezi tosha.
Nakubali lugha ya Mfalme Charles ni ngumu kweli kweli.....after they will humiliated....kweli hii lugha ilikuja kwa Meli
Najua ulikuwa unaamisha unaweza fikiri mtu ni kijana kumbe umemzidi umri. You never lose you either win or you learn.Mchezo wa mpira unadanganya sana. Unaweza fikiri mtu ni mzee kumbe umemzidi umri.
Mazoezi ni nini?
Hapana mkuu, nilikuwa namaanisha ww usiye mwanamichezo unaweza ukawa na 40yrs ila unaona Messi kazeeka.Najua ulikuwa unaamisha unaweza fikiri mtu ni kijana kumbe umemzidi umri. You never lose you either win or you learn.
Yaan bado yuko vizuri kabisa.Hazeeki...
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Maisha anayopitia mtu asie na fedha ni mazoezi tosha... [emoji23]
Bila kusahau akiwa klabuni anakiwasha akija timu ya taifa anacheza kifazaAnajisikia vibaya wakati yeye ubingwa ulimshinda na alikuwa na kikosi bora kuliko hata hiki. Toure brothers, Hatuna Kone, Zokora, Ebue na wengine wengi. Hawakufanya lolote.
Yaani hawa mapro wa Afrika wengi sio wazalendo kabisa.Bila kusahau akiwa klabuni anakiwasha akija timu ya taifa anacheza kifaza
Etoo nae hivyo hivyo ila ukimcheki sasa hivi anavyo hangaika utasema yeye kuna la maana sana alifanya na timu yake ya taifaYaani hawa mapro wa Afrika wengi sio wazalendo kabisa.
sio nyumban lknAnajisikia vibaya wakati yeye ubingwa ulimshinda na alikuwa na kikosi bora kuliko hata hiki. Toure brothers, Hatuna Kone, Zokora, Ebue na wengine wengi. Hawakufanya lolote.
hahahaaaaMchezo wa mpira unadanganya sana. Unaweza fikiri mtu ni mzee kumbe umemzidi umri.
Hicho Kiingereza... Hatari Kinyama.
Nahis aliyendika ni kutoka west Africa francfon counries.Asamehewe tu au pengine ni typo....Ujumbe wake umeeleweka....after they will humiliated....kweli hii lugha ilikuja kwa Meli