Pesa ni sabuni ya roho.Hazeeki...
Na mazoezi ni tiba ya roho...Pesa ni sabuni ya roho.
Mazoezi bila ya fedha, ni adhabu π€£πNa mazoezi ni tiba ya roho...
....after they will humiliated....kweli hii lugha ilikuja kwa Meli
hiyo tattoo akifikisha miaka 75+ atachukia sana jinsi ngozi itavyokua
Huyu aliyeandika hiko kiingereza π€£π€£
Kwanza haiwezi kusomeka tena maana ngozi nayo itakuwa imesinyaahiyo tattoo akifikisha miaka 75+ atachukia sana jinsi ngozi itavyokua
Maisha anayopitia mtu asie na fedha ni mazoezi tosha... πMazoezi bila ya fedha, ni adhabu π€£π
Hakika mkuuKwanza haiwezi kusomeka tena maana ngozi nayo itakuwa imesinyaa
Anajisikia vibaya wakati yeye ubingwa ulimshinda na alikuwa na kikosi bora kuliko hata hiki. Toure brothers, Hatuna Kone, Zokora, Ebue na wengine wengi. Hawakufanya lolote.
Natoka kivukoni, mpaka kariakoo kwa mguu, kwenda na kurudi tayari tizi tosha..Maisha anayopitia mtu asie na fedha ni mazoezi tosha... π
Kabisaa yani tizi toshaNatoka kivukoni, mpaka kariakoo kwa mguu, kwenda na kurudi tayari tizi tosha..