Ni kama vile Mbowe na wenzake wametumikia adhabu zote mbili ile ya kufungwa jela na kulipa faini, au imekaaje wakuu?

Yaani kumbe Jon mccm wakati mwingine zinaingia na kutoka Leo umeongea point zimefuta pumba zako zote
 
Itakuwa siku zako kuwa lumumba zinahesabikašŸ˜‚, unakengeuka Sana kada wakulilia
 
Wamekua wakilalamika kuwa mahakama zetu sio huru.. ni nn kinawaaminisha kuwa watashinda hyo rufaa? Waelekeze nguvu kwenye maandalizi ya uchaguzi mkuu waachane na hizi blaablaa!
 
Bwashee umenena vyema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakimu aliyehukumu ile kesi alifanya makosa sana. Tena Jaji kiongozi anatakiwa amshushe cheo aende mahakama ya mwanzo na wala sio Rmc. Maana walitakiwa wafungwe pamoja na fine. Chama cha watu wenye vurugu alafu anawalegezea.
 

Uthibitisho kama unaweza kulipa faini au kuendelea kukaa jela utaupata ukiwa tayari jela.Siku hukumu inapotoka na utekelezaji wake unaanza mara moja.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…