Ni kama wapinzani wamekata tamaa na vyama vyao

Ni kama wapinzani wamekata tamaa na vyama vyao

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Nilijua wapinzani hasa CHADEMA wangeendelea kuisusia Serikali kwa sababu CCM ni ile ile ila Rais ndiye amebadilika, ila kila ninayemsoma humu kwenye mitandao basi anamsifia Rais na kumuomba afanye kitu fulani.

Sasa nashindwa kuelewa wameamua kukubali kuwa CCM ni chama kubwa au wamekata tamaa?
 
Wamejikuta tu wamerudi nyumbani kumenoga.
Ni kama yule jamaa wa Hotel Rwanda kule kwa Kagame amejikuta tu yupo Kigali,hata yeye ajui amefikaje Rwanda.
 
Watanzania wengi tuna imani na Mama.Hofu , dhuluma vilitamalaki.
 
Screenshot_20210328-175954.jpg
 
Mkuu unakosea , sisi Kama chadema tulisema tunaanza upya, kwanza naamini yale yalifanywa SIO WOTE ndani ya ccm aliyataka wenda pia akiwemo mama,sema tu we hujui, mfano yupo mwana ccm alikondi ndege kwa ajili ya mh lissu,mh rais pamoja na mikwala yote ya uongonzi ule but tulimuona Kenya akimfariji mgonjwa wetu mh lissu,so mahaba kwa kiongozi hutengenezwa na hayalazimishwi so mh rais alisha yatengeneza
Mwisho nyie ccm yapo Mambo mmekua mnaendelea kusema kana kwamba mama hawezi vaa viatu vya mtangulizi wake ,Sasa elewa chadema ni jeshi kubwa Hata ccm msipo muunga mkono chadema yatosha kumuunga mkono ,
Sio kumuunga mkono tu na kumpigia kura nyingi adi washindwe kuhesabu + tunaweza kumfanya awe malaika kabisa apa Duniani sio adi aende mbinguni kama Bwana yule!
 
Kwangu rais akifanya vizuri apongezwe bila kujali chama anachotoka.Watanzania ni watu wapole Sana, pia hawapendi uonevu na dhululuma.Rais Samia ameanza vizuri kwa kufuata katiba na kutoonea watu...
 
Mlimleta Shetani ili aue Chadema kafa yeye

Katiba Mpya iko palepale Tume HURU iko pale pale
Magu kafa kwa mapenzi ya Mungu ila nyie Chadema mmekufa kwa mapenzi ya Magu.

Mzee akajua labda upinzani kweli kuwakazia kidogo tu manina wote chali hamji kumsahau yule mzee.
 
Magu kafa kwa mapenzi ya Mungu ila nyie Chadema mmekufa kwa mapenzi ya Magu.

Mzee akajua labda upinzani kweli kuwakazia kidogo tu ***** wote chali hamji kumsahau yule mzee.
Trust me!huyu mama akiyaendeleza yale ya Jiwe nae atawekewa betrii
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mlimleta Shetani ili aue Chadema kafa yeye

Katiba Mpya iko palepale Tume HURU iko pale pale
KUFA sio adhabu ndugu ni nature

Okay, kaua sasa? ndio unaambiwa umekata tamaa?

maana wote sasa mko CCM kuanzia Lissu
 
Back
Top Bottom