Hongera sana Kaka kwa ushauri wako mujarabu, mkuu ameuona na ameuskia ndo maana tunasema jf Ni sehemu ya GT tutoe ushauri mahususi kwa viongoziUmeshaelewa hoja yangu - mkubwa haelekezwi anashauriwa
Heko Hon Philipo Isdory Mpango (VP)
Kwhy unataka kusema Mh Rais ameona ushauri wa huyu jamaa.Hongera sana Kaka kwa ushauri wako mujarabu, mkuu ameuona na ameuskia ndo maana tunasema jf Ni sehemu ya GT tutoe ushauri mahususi kwa viongozi
Jiongeze tu kakaKwhy unataka kusema Mh Rais ameona ushauri wa huyu jamaa.
Ndio akaenda kumteua Dr. Mpango??
Mama amesikia, najua Ndugai hawezi kukataa.Msihofu mtapata... Cha muhimu tu taifa letu tuwe makini msukuma asije kushika tena nafasi ya urais!
Hiyo iwe ni sheria ndani ya mioyo yenu
KashasikilizwaKawawa ametokea mkoa wa Lindi ni Kusini si Mashariki.
Mtoa mada nadhani analengo la kushawishi VP atokee Kanda ya Magharibi
Samahani mkuu na mimi nilitoa boko. Nia yangu kumwambia arekebishe Moringe anatokea Kaskazini sio hiyo mashariki aliyoandika ya wapi??Arusha
Kwa kweli nimejibiwa! Mungu mwemaHongera sana Kaka kwa ushauri wako mujarabu, mkuu ameuona na ameuskia ndo maana tunasema jf Ni sehemu ya GT tutoe ushauri mahususi kwa viongozi
Msihofu mtapata... Cha muhimu tu taifa letu tuwe makini msukuma asije kushika tena nafasi ya urais!
Hiyo iwe ni sheria ndani ya mioyo yenu
Usitake kutuambia nyeusi ni nyeupeHapana
Katika watu sio wabaguzi hapa nchini Wasukuma wapo njema
WahongerekeKashasikilizwa
Edward M. Sokoine -Mashariki??? Na umerudia Mara tatuWabobezi wa siasa, nijengeeni uwezo!
Kanda ya Magharibi - yenye mikoa ya Kigoma na Tabora ndiyo haijawahi kuwa na kiongozi wa kitaifa - nalenga Rais au Makamu wa Rais au Waziri Mkuu.
(a). Orodha ya Marais tangu 1961 - 2021
= Mwl Julius K Nyerere (kanda ya ziwa); Mzee Ally Hassan Mwinyi (Zanzibar); Benjamin William Mkapa (Kusini); Jakaya Mrisho Kikwete (Mashariki); Dkt John Pombe Magufuli (Ziwa); na Samia Suluhu Hassan (Zanzibar).
(b). Makamu wa Rais
= Abeid Aman Karume (Zanzibar); Aboud Jumbe (Zanzibar); Ally Hassan Mwinyi (Zanzibar);
* Joseph Sinde Warioba (Ziwa); John Samwel Malecela (Kati); Cleopa Msuya (Kaskazini); Omary Ally Juma (Zanzibar); Ally Mohammed Shein (Zanzibar); Mohammed Gharib Bilali (Zanzibar); na Samia Suluhu Hassan (Zanzibar).
(c). Mawaziri Wakuu tangu 1961 - 2021
= Julius K Nyerere (Ziwa); Rashid Mfaume Kawawa (Mashariki); Edward Moringe Sokoine (Mashariki); Cleopa Msuya (Kaskazini); Edward Moringe Sokoine (Mashariki); Salim Ahmed Salim (Mashariki); Joseph Sinde Warioba (Ziwa); John Samwel Malecela (Kati); Cleopa Msuya (Kaskazini); Fredrik T Sumaye (Kaskazini); Edward Ngoyai Lowassa (Kaskazini); Mizengo Kayanza Peter Pinda (Nyanda za Juu Kusini); na Kasim Majaliwa Majaliwa (Kusini).
Kwa uchambuzi huo hapo juu inaonesha mikoa ya Kigoma na Tabora tangu Uhuru wa nchi yetu na baadae Muungano haijawahi kuwa na kiongozi wa kitaifa kwa nafasi za Rais, Makamu, au Waziri Mkuu. Mpo wabobezi na wachambuzi wa siasa na utawala - hebu njooni na kile mnachodhani ni chanzo cha sababu za kutokuwa na walau moja kati ya nafasi hizo.
Aidha, nimempigia saruti Hayati JPM kwani kwa uongozi wake aliliona hili ndipo akamteua Dkt Philipo I. Mpango (WF); Prof Joyce Ndalichako (WE).
Nahitimisha kwa kusema
"Hili ni taifa la watanzania kwa kuzingatia mipaka yake na kwa vyovyote vile watanzania wote tunazo sifa sawia".
Msakila M Kabende
Kakonko - Kigoma (Tanzania)
******************
Mhe Mama Samia, kigoma na kanda ya magharibi tunakupongeza kwa uteuzi huo - tunakuhakikishia ushirikino ktk chama na Serikali
Hii yakuwapeleka watoto shule ni muhimu sana...na waongoze ushawishi kitaifaPinda mizengo ni wa Katavi huko magharibi.
Sokoine ni Kaskazini.
Kingine ni ushawishi mdogo na mpeleke watoto shule
Wazee wachawi wa Kigoma hawaruhusu maendeleo kanda hiyo. Ondokeni na ushirikina mambo yatakuwa shwari.Wabobezi wa siasa, nijengeeni uwezo!
Kanda ya Magharibi - yenye mikoa ya Kigoma na Tabora ndiyo haijawahi kuwa na kiongozi wa kitaifa - nalenga Rais au Makamu wa Rais au Waziri Mkuu.
(a). Orodha ya Marais tangu 1961 - 2021
= Mwl Julius K Nyerere (kanda ya ziwa); Mzee Ally Hassan Mwinyi (Zanzibar); Benjamin William Mkapa (Kusini); Jakaya Mrisho Kikwete (Mashariki); Dkt John Pombe Magufuli (Ziwa); na Samia Suluhu Hassan (Zanzibar).
(b). Makamu wa Rais
= Abeid Aman Karume (Zanzibar); Aboud Jumbe (Zanzibar); Ally Hassan Mwinyi (Zanzibar);
* Joseph Sinde Warioba (Ziwa); John Samwel Malecela (Kati); Cleopa Msuya (Kaskazini); Omary Ally Juma (Zanzibar); Ally Mohammed Shein (Zanzibar); Mohammed Gharib Bilali (Zanzibar); na Samia Suluhu Hassan (Zanzibar).
(c). Mawaziri Wakuu tangu 1961 - 2021
= Julius K Nyerere (Ziwa); Rashid Mfaume Kawawa (Mashariki); Edward Moringe Sokoine (Mashariki); Cleopa Msuya (Kaskazini); Edward Moringe Sokoine (Mashariki); Salim Ahmed Salim (Mashariki); Joseph Sinde Warioba (Ziwa); John Samwel Malecela (Kati); Cleopa Msuya (Kaskazini); Fredrik T Sumaye (Kaskazini); Edward Ngoyai Lowassa (Kaskazini); Mizengo Kayanza Peter Pinda (Nyanda za Juu Kusini); na Kasim Majaliwa Majaliwa (Kusini).
Kwa uchambuzi huo hapo juu inaonesha mikoa ya Kigoma na Tabora tangu Uhuru wa nchi yetu na baadae Muungano haijawahi kuwa na kiongozi wa kitaifa kwa nafasi za Rais, Makamu, au Waziri Mkuu. Mpo wabobezi na wachambuzi wa siasa na utawala - hebu njooni na kile mnachodhani ni chanzo cha sababu za kutokuwa na walau moja kati ya nafasi hizo.
Aidha, nimempigia saruti Hayati JPM kwani kwa uongozi wake aliliona hili ndipo akamteua Dkt Philipo I. Mpango (WF); Prof Joyce Ndalichako (WE).
Nahitimisha kwa kusema
"Hili ni taifa la watanzania kwa kuzingatia mipaka yake na kwa vyovyote vile watanzania wote tunazo sifa sawia".
Msakila M Kabende
Kakonko - Kigoma (Tanzania)
******************
Mhe Mama Samia, kigoma na kanda ya magharibi tunakupongeza kwa uteuzi huo - tunakuhakikishia ushirikino ktk chama na Serikali