Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Kila mtu ni kiongozi wa maisha yake hapa duniani, so kuwa na code yako ni muhimu sana. Wote wanaume na wanawake wanapaswa kuwa nayo, tena haswa wa kiume usiishiishi tu. Mfano yangu ni hii hapa:
Mtu yeyote, mdudu yoyote, mmea, mjusi, hata kabakteria kakiishi hivyo katakuwa fresh na mimi kwa upande wangu.
Theory of everything (Nadharia ya kila kitu)
We are of God and we live for mankind. (Sisi ni wa Mungu na tunaishi kwa ajili ya wanadamu). Anything done in that statement is right, anything contrary to this statement is left. Living and doing according to this statement is healthy and therefore right. Always healthy things are right. Uzi tayari....
Ila ngoja, uzi bila picha haunogi, basi picha hii hapa:
Stuka! unapigwa bro huoni picha yenyewe nayo ni maneno? So ni sehemu tu ya uzi sema tu ina marangirangi 🤦♂️😂🤣🤣
Mtu yeyote, mdudu yoyote, mmea, mjusi, hata kabakteria kakiishi hivyo katakuwa fresh na mimi kwa upande wangu.
Theory of everything (Nadharia ya kila kitu)
We are of God and we live for mankind. (Sisi ni wa Mungu na tunaishi kwa ajili ya wanadamu). Anything done in that statement is right, anything contrary to this statement is left. Living and doing according to this statement is healthy and therefore right. Always healthy things are right. Uzi tayari....
Ila ngoja, uzi bila picha haunogi, basi picha hii hapa:
Stuka! unapigwa bro huoni picha yenyewe nayo ni maneno? So ni sehemu tu ya uzi sema tu ina marangirangi 🤦♂️😂🤣🤣