Ni kawaida au huyu wangu kazidi?

Hahahaha nitakuita siku moja bar nakupombesha ile mbaya.....halafu utaamka asubuhi umechooooka....


ahhh Masa gari ya pombe hii... full kujitambua kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
 
Mpwa kuwa makini mke wa mtu huyo we mpombeshe alafu ukamatwe ugoni sijui nani atakunasua.

Hao ndo wazuri wanajua kucheat, suala la kukamatwa halipo...wajanja ile mbaya!
 
hapo lakini inawezekana jamaa ameshausoma udhaifu wa demu, anajua kwamba demu kaoza sana kwake kutokana na 'ufundi' na 'maujuzi' ya mshkaji, hivyo inabidi awe mpole tuu, coz demu akileta pozi mshkaji si atasepa!!.
 
Pole dada yaani huo ni mtihani sana ila usiache kumwomba mungu pengine ni kipimo anakujaribu lamsingi vumilia lakini ukae katka maombi wanaume wa namna hy wapo tena wengi sana na ukiwa legelege tu atakupeleka sna na hutakuwa na maendeleo ila kwakwe ndio ajenge sio kwakwe Pole
Stay blessed
 
Komredi unamalizia na white russian apo kazi kwishnei!πŸ˜€

Kaizer kumbe na wewe upo kwenye fani eeehh....mademu wa kibongo wanakunywa sana beer badilisha upepo!
 


Karibu naima JF
 
so kila mkikaa mpo na shoga zake, sasa nyie muda wenu wa kuongea yanayowahusu ni kitandani tu? kuna wakati anaweza kweli akaja na frnd wake na wewe pia wakati mwingine ukawa na frnd wako, yani kampani tu lakini icwe sheria kukokotana....

Unajua luv nilicho gundua! mwanamke ukimtoa out basi anatafuta nae mpambe wake nae aje anywe next time huyu mwanamke wangu rafiki yake akitolewa out nae anachukuliwa out kama kulipa fadhira na cycle inaendelea to infinite sema hii mitoko sasa ya kuja na mashost ina madhara yake mimi alikuja na mpambe mkali kuliko yeye oooh nikabadili upepo nikachukua namba week end ijayo nikatoka na mpambe maisha yaliendelea kusonga mbele wa siku zote nikampiga chini nafasi yake ikachukuliwa na mpambe wake.
 
Komredi unamalizia na white russian apo kazi kwishnei!πŸ˜€

ASEEE, UMEIKUMBUSHA MBALI SANA, nimeona nibadilishae na Avatar yangu kwa muda!
 


mie nilikuwa natoka na frnds kumfata jamaa enzi hizo kwa kampani za mara moja moja sana, tofauti na yeye ilikuwa akikuambia umfate/muende mahali mara nyingi sana utakuta yupo na frnds zake, na nilikuwa natoka kwa kujiamini na frnd yangu yoyote, awe amezidi kiwango/amepungua kiwango, nilikuwa cjali mana kama ni wangu ni wangu tu na alichonipendea ndicho kitatufanya tuendelee na mahusiano....Fidel inaelekea unavichezea sana vidada kwa danadana, kwanini wanazungukana/unawazunguka?.....
 
Kaizer kumbe na wewe upo kwenye fani eeehh....mademu wa kibongo wanakunywa sana beer badilisha upepo!

Mkuu Masa hakuna mwalimu mzuri kama uzoefu mkuu! usipolijua libeneke inakula kwako/unafulia...sasa ni kuwajulia tu tehe tehe tehe
 
Kwa nini tusiadapt utaratibu wa kuwa kama tukiitana baa kila mtu analipia alichotumia ili kukata mzizi wa fitna. kwa hiyo inakuwa Lipa Kadiri Ulivotumia (LIKAU)

Kweli hiyo ni style nzuri sana. Mnaenda bar lakini hakuna anaenyonya wala kunyonywa. Kwanini ulipiwe na mwingine wakati starehe ni yako bana? Huko nje wenzetu hawafanyi kama hapa bongo. Ni ushamba kumlipia mtu ambae kenda bar kwa hiari yake mwenyewe. Starehe gharama bana!
 

Mkuu wa Bao3 nilikuwa namaanisha ivo, kwamba kama kuna vya kuiga basi madamu tumeiga utandawazi basi na hilo pia tuliige!
 
....Fidel inaelekea unavichezea sana vidada kwa danadana, kwanini wanazungukana/unawazunguka?.....

Binafsi iwa sipendi mtu aje na mpambe pembeni akija nae dawa ndo hiyo namega ili kesho ajuute kuja na mpambe kwenye mtoko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…