Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Sijapita itabidi j2 nizungukie iwa naishia pale Luguluni park umewahi kaa pale?
Nimewahi bariki pombe za pale mzee.....si pabaya kukimbia kelele za mjini na farasi weupe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijapita itabidi j2 nizungukie iwa naishia pale Luguluni park umewahi kaa pale?
Nimewahi bariki pombe za pale mzee.....si pabaya kukimbia kelele za mjini na farasi weupe!
Mzee kuna toto moja la Kirangi lipo pale linafunika balaa farasi mweupe unawaogopa wale si unamaliza nao kiaina kwani lazima ukae mpaka majogoo.
Hahahaha yeah wazo zuri sana hilo wale wapambe wasingeweza kujilipia nauli mpaka Kibaha au Kibamba pale.
pale mkuu pametulia sana, supu yao ya kufa mtu, kitimoto ndo usiseme!.Sijapita itabidi j2 nizungukie iwa naishia pale Luguluni park umewahi kaa pale?
hayo ya kuchunana sio majukumu, ni wizi tu!. we umepewa ofa peke yako, kwanini umkokote na mwenzako?mbona sasa mnakwepa majukumu? c mnayoyataka nyie...
pale mkuu pametulia sana, supu yao ya kufa mtu, kitimoto ndo usiseme!.