Ni kawaida shingo ya mtoto wa miezi minne kuwa haijakaza?

Ni kawaida shingo ya mtoto wa miezi minne kuwa haijakaza?

mbeta

Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
67
Reaction score
25
Habari zenu wanajamvi,

Naomba kueleweshwa kitu, mwanangu ana miezi minne toka kuzaliwa lakini mpaka sasa shingo yake haijakaza je ni kawaida au? Lakini ni mchangamfu sana yuko vizuri ni hilo la shingo tu.

NB: Alipozaliwa aliugua yellow fever akakaa chumba cha joto kwa siku 10, then akaruhusiwa. Je inaweza ikawa imechangia kitu?

Nawasilisha kwenu kwa ushauri asante
 
Habari zenu wanajamvi,naomba kueleweshwa kitu mwanangu anamiezi minne toka kuzaliwa lakin mpaka sasa shingo yake haijakaza je ni kawaida au?lakin ni mchangamfu sana yuko vzuri ni hilo la shingo tu.
NB:alipozaliwa aliugua yellow fever akakaa chumba cha joto kwa siku 10,then akaruhusiwa je inaweza ikawa imechangia kitu?
Nawasilisha kwenu kwa ushauri asante
Kabla ya vote je umejaribu kumkalisha at least sekunde tano?
 
Habari zenu wanajamvi,naomba kueleweshwa kitu mwanangu anamiezi minne toka kuzaliwa lakin mpaka sasa shingo yake haijakaza je ni kawaida au?lakin ni mchangamfu sana yuko vzuri ni hilo la shingo tu.
NB:alipozaliwa aliugua yellow fever akakaa chumba cha joto kwa siku 10,then akaruhusiwa je inaweza ikawa imechangia kitu?
Nawasilisha kwenu kwa ushauri asante
Kabla ya vote je umejaribu kumkalisha at least sekunde tano? kama analia sana,na hakai jitahidi kuwa karibu na daktar hilo tatizo lilishatokea kwenye familia yetu kama halii na anakaa kidogo itakuwa ni unene
 
Mkuu ukimkalisha halii labda akikaa sana kama dk 10 hivi ndo anajifyatua miguu adondoke ukimlazimisha ndo analia
 
Hayo maradhi inaonyesha ndo yamemchelesha lakini itakaza angalia maendeleo yake mpaka miezi sita uone
 
Wala usijali, mwanao bado anatafuta mwili itakaa sawa tu. Pia inawezekana homa ilimrudisha nyuma lakini shingo itatengamaa tu.
 
Wa kwangu pia alichelewa kukaza shingo....mtani wangu akaniambia ili ikaze inabidi nimgegede mamake....vp ushamzibua masikio?
 
Miwang had miez nane ilikua inaegemea upande wakulia lakin mpaka ikakaza ila mpe mazoez ukimbeba iwekee Sawa uishikilie
 
Mungu Ni Mwema Sana
Atakaza Kumbuka Watoto Hutofautiana Ukuaji
 
Umeolewa? Kama una mme huo ni uzembe wenu wa kumfanya mtoto a chelewe kukomaa. Mwanangu miezi miwili na nusu lakini shingo ilisha kaza kitaambo
 
Back
Top Bottom