mbeta
Member
- Jan 23, 2013
- 67
- 25
Habari zenu wanajamvi,
Naomba kueleweshwa kitu, mwanangu ana miezi minne toka kuzaliwa lakini mpaka sasa shingo yake haijakaza je ni kawaida au? Lakini ni mchangamfu sana yuko vizuri ni hilo la shingo tu.
NB: Alipozaliwa aliugua yellow fever akakaa chumba cha joto kwa siku 10, then akaruhusiwa. Je inaweza ikawa imechangia kitu?
Nawasilisha kwenu kwa ushauri asante
Naomba kueleweshwa kitu, mwanangu ana miezi minne toka kuzaliwa lakini mpaka sasa shingo yake haijakaza je ni kawaida au? Lakini ni mchangamfu sana yuko vizuri ni hilo la shingo tu.
NB: Alipozaliwa aliugua yellow fever akakaa chumba cha joto kwa siku 10, then akaruhusiwa. Je inaweza ikawa imechangia kitu?
Nawasilisha kwenu kwa ushauri asante