dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
Mimi kazi ya jeshi,polisi na ualimu...ni BIG NO
Wewe je??
Wewe je??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua wanavyoinjoi na PM zetu usingesema hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa "mod" wa JF [emoji38][emoji38]
Upagaz ndio kaz ipi mkuuUpagazi
HahahahaUngejua wanavyoinjoi na PM zetu usingesema hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ipo aje hiiKunyanyua mamanzi
Haaaaa na wakati kuna watu wanataman waongeze kumi tenaUraisi.
Kuna zingine either zinachosha sana,zinahatarisha maisha au zinakubana sana kiasi kwamba ni kama unakuwa kifungoni mkuuKama kazi ni halali na si ya magendo we piga tu cha muhimu chapaaa.
Makuwadi hivi wanalipwaukuwadi/gowadi
wanalipwa mkuu kulingana na kwaliti ya pisi 😂 😂Makuwadi hivi wanalipwa
Jehova's Witness ama?Mimi kazi ya jeshi,polisi na ualimu...ni BIG NO
Wewe je??
Hahahaha..haya maisha bwanawanalipwa mkuu kulingana na kwaliti ya pisi 😂 😂