Ni kazi kwako Mtanzania, uamue kurudi kwenye majonzi tena au furaha moyoni

Ni kazi kwako Mtanzania, uamue kurudi kwenye majonzi tena au furaha moyoni

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Ni kazi kwako Mtanzania, uamue kurudi kwenye majonzi ya utekaji, uonevu, kupotezwa na kufilisiwa mali au kubomolewa nyumba zako kinyume na sheria ya nchi au uishi katika Tanzania ya furaha chini ya nguli wa sheria Tundu Lissu anayejua haki yako?

Ni kazi kwako kuamua watoto wako waendelee kukosa ajira, Watumishi wadipandishiwe mishahara wala wasipate nyongeza au Tanzania ya Lissu itakayojali stahiki zako?
 
1603784141414.png
 
Back
Top Bottom